Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahahahaha Ollachuga Oc pole jamaa yangu. Muwe wavumilivu, mmekosa FA, mtakosa UCL, mtakosa pia top 4.

1621102696833.jpg
 
Wana Chelsea tusibweteke ndiyo mpira ulivyo ukikosea kidogo basi unabutuliwa.

Karata haikuwa upande wetu. Hongera Leicester kwa kuchukua FA kwa mara ya kwanza.

Mpaka sasa Leicester wametufunga mara mbili katika msimu huu.

Tukutane jumatano Stanford Bridge.
Ni kipigo tena. Haina kuuliza
 
Wana Chelsea tusibweteke ndiyo mpira ulivyo ukikosea kidogo basi unabutuliwa.

Karata haikuwa upande wetu. Hongera Leicester kwa kuchukua FA kwa mara ya kwanza.

Mpaka sasa Leicester wametufunga mara mbili katika msimu huu.

Tukutane jumatano Stanford Bridge.
Mendy is Best
Kwanini ajampanga huyu
FB_IMG_1620583060100.jpg


Sent from my ACCESS55 Pro using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi binafsi nimekubali kuwa tumeshindwa mbele ya Leicester
Hakuna timu itaunlock defense ya Chelsea.

Natengeneza timu itakayoogopwa dunia nzima.

Hii timu ni ya kuchukua makombe hamna mambo ya kusubiri muda ndiyo huu.

Siku hizi nimemuambia asihangaike kufunga awe anatoa hata assisst tu.

Arsenal wametubahatisha, sielewi wamepataje lile goli.
 
Wenger amesuggest hicho kilichopo leo kisiwe offside. Mpaka yatakapokubaliwa mapendekezo hayo huyo Chillwell leo yupo offside.

Bado hamna kocha wa kuunlock potential ya Werner. Tuchel ni muongeaji mno, anawaahidi makubwa anadhani hii ni Ligue 1 hiyo ni EPL siku mnapigwa 5 ilibidi ajifunze kubaki na akiba ya maneno badala yake anazidi kubwabwaja.

Vinabo ni vibonde
LC wameshinda. Kisheria hakuna namna nyingine, na mfungaji wa goli kafunga goli zuri. Ila rebound ilikuwa ni mkono wa makusudi kabisa. Ile ilikuwa foul na red card.

Tuchel ana mapungufu yake. Mojawapo ni kuwa mzito kupiga sub mapema. Sub za Giroud na Odoimechi iliyopita na hii zilipaswa kuja early second half, sio dk ya 80.

Ifikie mahali TT akubali kwa sasa Chelsea haina mfungajikama Giroud. Nimelisema humu sana na linajidhihirisha.
 
Tatizo la kepa hajui kujipanga golini pia mashuti ya mbali hawezi kudaka kabisa.

Kama unakumbuka zile mbunduki mbili za Benzema Second leg angekuwa Kepa zote zilikuwa goli
Kepa kakosea wapi? Lile shuti hata angekaa nani haudaki. Ile velocity na angle sio mchezo. Makosa yalikuwa kwa refa maana beki iliisha relax wakijua kashika wazi kabisa!
 
LC wameshinda. Kisheria hakuna namna nyingine, na mfungaji wa goli kafunga goli zuri. Ila rebound ilikuwa ni mkono wa makusudi kabisa. Ile ilikuwa foul na red card.

Tuchel ana mapungufu yake. Mojawapo ni kuwa mzito kupiga sub mapema. Sub za Giroud na Odoimechi iliyopita na hii zilipaswa kuja early second half, sio dk ya 80.

Ifikie mahali TT akubali kwa sasa Chelsea haina mfungajikama Giroud. Nimelisema humu sana na linajidhihirisha.
Southern Highland alisema mna Tammy na Werner.

Au hao siyo strikers?
 
Southern Highland alisema mna Tammy na Werner.

Au hao siyo strikers?
Tammy na Werner hawajamfikia OG. Hiyo ndiyo assessment yangu kipindi cha FL na hata sasa. Timoni mzuri wa kupika haswa kutokanana spidi yake na uwezo wa kuwauza mabeki. Ila sio mfungaji.

Tammy ana tatizo la kukosa magoli,na hana uzoefu mkubwa bado. Hii inatuacha na OG as only clinical and experienced striker
 
Kepa kakosea wapi? Lile shuti hata angekaa nani haudaki. Ile velocity na angle sio mchezo. Makosa yalikuwa kwa refa maana beki iliisha relax wakijua kashika wazi kabisa!
Lile shuti ili kipa adake ni labda ahisi mtu atashuti so asogee ule upande kabla hajapiga. Na Tielemans ni right footer kipa anajua huyu yupo comfortable kuleta mpira upande wangu wa kushoto na siyo kulia.

Nje ya hapo kipa yeyote awe alipokua Kepa angetoboka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom