Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,680
- 2,891
Ombeni mungu ole asichukue Europa.
Siyo Chelsea tu, hakuna kipa wa kuzuia ile kitu!Saka alipata goli hapa. Golini alikuepo huyo best unayemsema hapa.
Huyo naye ni kinabo tu.
Chelsea hamna kipa wa kuzuia lile shuti. Msijifariji.
Mimi bado naamini Werner ili aonekane anafaa anahitaji kusogezwa karibu na goli na pembeni yake awepo ST mwingine.Tammy na Werner hawajamfikia OG. Hiyo ndiyo assessment yangu kipindi cha FL na hata sasa. Timoni mzuri wa kupika haswa kutokanana spidi yake na uwezo wa kuwauza mabeki. Ila sio mfungaji.
Tammy ana tatizo la kukosa magoli,na hana uzoefu mkubwa bado. Hii inatuacha na OG as only clinical and experienced striker
Tamba baba..
Kwa kasi ya Timo na Striking ya Giroud, wakianza ni moto. Ziyech pia anapaswa kuanza kwa sababu ya pasi mpenyezo. Then sub Capt. AmericaMimi bado naamini Werner ili aonekane anafaa anahitaji kusogezwa karibu na goli na pembeni yake awepo ST mwingine.
Hizi trial and error zitamfanya aonekane leo yulo vizuri kesho hovyo.
Bado ninayo nafasi ya kukuziba mdomoSiku hizi umejua michezo haujifichi jifichi hadi wiki tatu zipite.
View attachment 1786365
Game yenu na City ilikua mind game.Bado ninayo nafasi ya kukuziba mdomo
Kuna Kima fulani fulani huwa hawaonekani kwenye uzi wao huku wanashinda kwenye nyuzi za wanaume kule.
OkayGame yenu ni City ilikua mind game.
Mnatoboka mapema tu ucl.
Au sioTT gave you nude expectation, still optimistic that top 4 is beyond your reach




