Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumecheza vizuri lakini tumefungwa.

Lawama anastaili 100% kocha,, sidhani kama fainali ni mechi ya kufanya rotation. Unatakiwa uende na strong team yako..

Kwa sasa strong team ni hii..

Goalkeeper - Mendy.
Back three - rudiger, silva, azpilicueta/christiansen (hao wawili inategemeana na vimo vya wachezaji wa timu pinzani).

Wingback - chillwell, azpilicueta/james.

Midfielders - jorginho & kante

Forwards - mount, havertz, Werner...


Kwa jana TT alikosea sana.. even though kipa wa Leicester alikua on top form..

Ila bado naamini fainali sio majaribio (na hapa ndo ninapomkubali guardiola , hata ikiwa ni carabao cup atakueka known 1st eleven)
Siyo known first eleven ila kikosi reserve cha city kinaweza kutafuta ushindi kama kikosi A
 
Tumecheza vizuri lakini tumefungwa.

Lawama anastaili 100% kocha,, sidhani kama fainali ni mechi ya kufanya rotation. Unatakiwa uende na strong team yako..

Kwa sasa strong team ni hii..

Goalkeeper - Mendy.
Back three - rudiger, silva, azpilicueta/christiansen (hao wawili inategemeana na vimo vya wachezaji wa timu pinzani).

Wingback - chillwell, azpilicueta/james.

Midfielders - jorginho & kante

Forwards - mount, havertz, Werner...


Kwa jana TT alikosea sana.. even though kipa wa Leicester alikua on top form..

Ila bado naamini fainali sio majaribio (na hapa ndo ninapomkubali guardiola , hata ikiwa ni carabao cup atakueka known 1st eleven)
Yaani strong team iwe na jorginho!!.
 
Siyo known first eleven ila kikosi reserve cha city kinaweza kutafuta ushindi kama kikosi A
City hajawai weka reserve squad kuanza fainali yeyote...

Hata kombe linalodharaulika na wengi (carabao cup),, guardiola hua anashusha first eleven yake .

Na ndo sahihi, huezi ingia fainali ukachezesha reserve players wako kama kweli uko serious na hicho kikombe
 
images (3).jpeg
 
Hili kombe la FA sijui tuna nuksi nalo ama chama husika hakitaki tubebe hilo kombe. Kwa miaka mitano tumefanikiwa kuingia fainali 4 ila tumefanikiwa kushinda fainali moja tu. Ila hizi fainali mbili yaani mwaka jana na mwaka huu zina utata mtupu.
Mpira ule ulishikwa mapema offside nayo hovyo
 
Chelsea niwape twist of plot?

Mwishoni kabisa mwa msimu kinyume na matarajio yenu.

1. Mmeitema FA
2. Mtaitema top four
3. Mtaitema UEFA

Hapa ndio mtajua hamjui.
Taja kwanza unashabikia timu gani isije kuwawewe ni Arsenyeto
 
Kepa kakosea wapi? Lile shuti hata angekaa nani haudaki. Ile velocity na angle sio mchezo. Makosa yalikuwa kwa refa maana beki iliisha relax wakijua kashika wazi kabisa!
Lile shuti sio la kudaka, Mendy angepangua. Just simple as such, shuti kama lile hata kidole kimoja kingeweza kupindisha na kugonga goli au kutoka nje kabisa
 
Kepa ni mbovu tuseme ukweli, hata zile mechi ambazo hakufungwa alikuwa likizo. Ni mabeki walimlinda tu. Wakati wa mashuti kama yale ndio utajua tofauti ya Mendy na Kepa
 
Kepa kakosea wapi? Lile shuti hata angekaa nani haudaki. Ile velocity na angle sio mchezo. Makosa yalikuwa kwa refa maana beki iliisha relax wakijua kashika wazi kabisa!
Hata Cabalero angepangua lile shuti na uzee wake
 
Pigaaaa kombola moja hadi nyavuniii ,kudadadekiiiiiii...

Lile shoot sio nje ya 18 tu yaan ni katikat ya uwanja hadi golini ...

Kepa kasema lile shoot lilikuwa na speed ya light ,hivyo alishangaa mpira upo nyavuni ,ikabidi na yeye aanguke chini tu kuonesha amaruka
 
Bado mnaenda kukutana tena na foxes ,wawamangue magoli mengine tena ,na ndio itakuwa mwisho wenu top 4
 
Hii timu slowly inatoka top 4 ...

Kwa heli Chelsea , uefa ilikupenda ila Europa imekupenda zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom