Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,395
- 77,275
Ila unatoaga maboko mara uonyeshe kikosi cha city cha uongo mara udai vitu vya uongo. Hivi hata unaangalia mpira? Unajua chelsea yuko nafasi ya ngapi? Jana tu umeona picha ya msimamo wa ligi leo umesahau kila kitu.Arteta ndio ana akili ndio maana yupo nafasi ya 10
Omba tenda ya kufundisha chelsea