Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Unadhani hii ni Asenane
Kombe mnalitema hili
Kombe mnalitema hili
Timo angalau anajituma ziyech alikua anatembea tu uwanjani, kocha mpumbavu sana kachelewa kumtoa.Cyo zych hta timo anabutua tu

















































Naona mnamplekea moto kweli kweliBado masaa 5 tumpelekee moto Leicester mpaka atoke uwanjani mwenyewe.
Hawa nasemaga kila siku wanacheza kwa morali ila mbinu hawanaWakuu hongereni sanaa ..
Hata 2012 mlichukua FA historia inajirudia hata uefa manenda kubeba wakuuu....




























Mendy hayupo(ndo chaka lao leo)Mbona kama vile kepa kaanguka chin mpira ndio ukaingia![]()



Hongera sana mkuu kwa kuchukua FA ...Tulia NGURUWE ww