Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

alimpunzisha nani?
Alimpumzisha Kante,Kepa,William ,Azpicul ,Rudigar ,Tomori na waliocheza hawakutumia nguvu kubwa,pia Mount,Tammy waliingia kipindi cha pili na uzoefu wa Chelsea ya sasa kipindi cha kwanza wanamaliza game
 
zilikuwa halali au sio?? kama halali haijalishi hata kama zikiwa 100/ match
Uhalali UPI? Kumbuka mechi ya Norwich inafikia hatua Ole anasema penalty ya kwanza haikuwa halali,Mimi nani hata nikatae mawazo ya kocha mkuu wa Utd
 
Baada ya kuona mke mmoja hatutoshi,tuliongea na mke mkubwa Arsenal akaturuhusu tuoe Chelsea kama mke wa pili.

Tutarudi tena hapo darajani kuchukua point zilizobaki.
 
King Gwaba na malafyale siku izi wamekimbia huzi wetu. Kuna siku king Gwaba alisema Pulisic hana kitu ni wa kawaida sana.

Nami namkumbusha tu kuwa.

Pulisic mechi 4 alizocheza.

3 assists
3 goals

Acha kuzuga brother! Mimi sihamii wala aikimbii Uzi bali kwenye nyuzi kama hizi naonekana wakati mukipata shida tu kama leo.
 
  1. Kuna watu walitusimanga sana kuhusu kuondoka kwa Hazard timu itapwaya
  2. Kuhusu ban ndio tutashuka daraja
  3. Sasa tukawaongezea na majeruhi ya akina Rudiger, Ng'olo Kante, RLC na wengineo kibao
  4. Pamoja na hayo yoote matatu hapo juu sisi Chelsea tunashinda tu mbele kwa mbele

Sasa Jana kwenye Daraja la Udongo mulikwama wapi?
 
Habari za siju ndugu. Kuna kitu naomba niongee na mashabiki wenzangu wa mpira hasa kuhusu game ya jana.

Kiukweli kupoteza game ya jana hata mimi imeniuma mno hasa tumepoteza darajani inaniuma mno. Lakini kuna kitu mimi nakiona na kinanipa faraja kwa kujaribu kuangalia upande wa pili katika hili swala. Kwanza tumepoteza game sababu ya kwanza ni kikosi kilichoanza na mimi silaumu kwa sababu ndio kinachohitajika inasaidia wachezaji wengine wapate nafasi ya kucheza na hata kujua potential zao. Tukumbuke tunacheza UEFA wiki ijayo na Ajax what if jana Tomori/ Azpi au Mount wangeumia? Haya je kama Lampard angeanzisha kikosi cha kwanza tungeujua vip uchovu wa Pedro?

Ninachosema si kwamba hii mechi haikua na umuhimu ila tujaribu kuangalia na upande wa pili. Mfano msimu uliopita sisi ndio tumtoa Liverpool kwa goli murua la ushindi kutika kwa Hazard ile mechi wote kwa asilimia kubwa tulianzisha wachezaji wa kikosi cha pili lakini sisi ndio tulibahatika tukapata ushindi Anfield. Ninachokiona Lamps ana priority kwa baadhi ya mshindano kama ilivyo msimu uliopita kilichofanyika kwa Liver. So sioni shida kabisa bado tupo kwenye nafasi nzuri, kama sisi tulivyowakejeli mwaka jana Liver tulivyowafunga kwao basi tutambue wakati huu hata manyumbu yatakuja kutupiga majungu humu. Jibu ni moja tu LEVELS huwezi fananisha UEFA na Futuhi ya brother K.
 
Habari za siju ndugu. Kuna kitu naomba niongee na mashabiki wenzangu wa mpira hasa kuhusu game ya jana.

Kiukweli kupoteza game ya jana hata mimi imeniuma mno hasa tumepoteza darajani inaniuma mno. Lakini kuna kitu mimi nakiona na kinanipa faraja kwa kujaribu kuangalia upande wa pili katika hili swala. Kwanza tumepoteza game sababu ya kwanza ni kikosi kilichoanza na mimi silaumu kwa sababu ndio kinachohitajika inasaidia wachezaji wengine wapate nafasi ya kucheza na hata kujua potential zao. Tukumbuke tunacheza UEFA wiki ijayo na Ajax what if jana Tomori/ Azpi au Mount wangeumia? Haya je kama Lampard angeanzisha kikosi cha kwanza tungeujua vip uchovu wa Pedro?

Ninachosema si kwamba hii mechi haikua na umuhimu ila tujaribu kuangalia na upande wa pili. Mfano msimu uliopita sisi ndio tumtoa Liverpool kwa goli murua la ushindi kutika kwa Hazard ile mechi wote kwa asilimia kubwa tulianzisha wachezaji wa kikosi cha pili lakini sisi ndio tulibahatika tukapata ushindi Anfield. Ninachokiona Lamps ana priority kwa baadhi ya mshindano kama ilivyo msimu uliopita kilichofanyika kwa Liver. So sioni shida kabisa bado tupo kwenye nafasi nzuri, kama sisi tulivyowakejeli mwaka jana Liver tulivyowafunga kwao basi tutambue wakati huu hata manyumbu yatakuja kutupiga majungu humu. Jibu ni moja tu LEVELS huwezi fananisha UEFA na Futuhi ya brother K.

Mkuu mbona maneno maneno mengi....

Hiyo haitobatilisha kuwa umefungwa🤣
Mara kikosi cha kwanza ,mara futuhi,wale waliocheza ndio wachezaji wenu hata angecheza nani mungechabangwa tu,kwani mlivyogongwa 4 buyu Tomori hakuwepo eti eeeehhhh??????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom