Ppmosile
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 1,232
- 1,890
Nani mdogo wako?acha dharau.kama umekosa hoja ya maana ww pita zako
Dogo umeshajua kuandika. SafiThat's very good.
![]()
Dogo umeshajua kuandika. SafiThat's very good.
![]()
Palipo Tomori muweke ZoumaWachezaji waliong'ara jana
Tomori
Kovacic
Christian Pulisic
Siku hii Zouma hakufanya mistake hata moja. Alipiga kazi vizuri sana.Zouma siku hizi kijana yuko serious na kazi yake. Full maconfidence. Partnership yake na tomori imeclick.
Akirudi emason kushoto itakuwa safi zaidi.
Nimemuadd kwenye ignore list. Staki kuona comments zake za kipumbavu mpira hajui.





nyambaf


Unajua nini? we dogo ni mpumbavu, hujui chochote kuhusu mpira, unachojua ni mipasho tu. Jifunze kw wenzio sio unarukaruka tu hapa na ww uonekane umecomment kuhusu mpira, mpuuzi tu.Sasa Wewe unajua nini?
Tatizo letu sisi wabongo ndio hili kila mtu anajiona anajua kuliko mwenzake maana hata mimi nakuona bonge la mburula usiyejielewa hata kidogo mwenye akili za kuvukia barabara tu.....
Kiufupi wewe ndio kiazi,kihande na kichaa kabisa kabisa na usiwe unarukia rukia mada usizozielewa zilipoanzia,
Mimi nimezungumzia WORST DEFEAT za hivi karibuni huyo mwenzako analeta mjumuisho wa ligi nzima...
Na wewe ukaparamia tu ...
Huyu dogo ni mpuuzi sana, ni ile mitoto iliyotafutiwa gest.Nimemuadd kwenye ignore list. Staki kuona comments zake za kipumbavu mpira hajui.
Unajua nini? we dogo ni mpumbavu, hujui chochote kuhusu mpira, unachojua ni mipasho tu. Jifunze kw wenzio sio unarukaruka tu hapa na ww uonekane umecomment kuhusu mpira, mpuuzi tu.



boya sana we jamaa,shenzy kabisa....inavyoonekana nyie ndio munaorushaga ngumi mkitaniwa kidogo tu nyambaf....sasa hapo ndio umeandika mashudu gani?🤣🤣mpumbavu ni wewe ambaye katika jukwaa la soka unaleta matusi,


Huyu dogo ni mpuuzi sana, ni ile mitoto iliyotafutiwa gest.



...Wewe unajua niniboya sana we jamaa,shenzy kabisa....inavyoonekana nyie ndio munaorushaga ngumi mkitaniwa kidogo tu nyambaf....sasa hapo ndio umeandika mashudu gani?
mpumbavu ni wewe ambaye katika jukwaa la soka unaleta matusi,
Na kichaa siku zote huona wale waliokuwa wazima ndio vichaa
USITAKE KULAZIMISHA WATU WACOMMENT UNACHOKIPENDA TU,JIFUNZE UVUMILIVU DOGO
mbona makombe ninyi huwa hamtaki ya current mnataka ya zilipendwaLini????unataka tulete history???
utakimbia wewe,kiufupi hakuna ambaye hajapigwa kipigo cha mbwa mwizi ila tunazungumzia msimu huu????afadhali hata ungesema msimu uliopita uliogongwa 6 buyu na city
4 buyu na bournamouth
wewe unarukia miaka ya 47 hko zilipendwa
mbona makombe ninyi huwa hamtaki ya current mnataka ya zilipendwa



nimecheka sana mkuu, umeuaWe ni mpuuzi hata mimi nilishakwambia , ila kwa vile umejaza kinyesi kwenye hilo fuvu lako hutaelewa kitu

kuniita mimi mpuuzi ilhali wewe ndio mpuuzi kamwe haitabatilisha upuuzi wako

Agiza kinywaji chochote isipokuwa pombe waambie waniletee bili.Alichoboronga hapo ni matokeo ya Chelsea na inaonyesha jinsi ambavyo haijui Chelsea vizuri bado anaidhania Chelsea ni ile iliyocheza na Man U kwenye ufunguzi.. Ushabiki na utabiri wapi na wapi
Hebu Tujadili hapa Lampard Atumie Falsafa IPI na Akina nani waanze na nani waamzie Bench katiki Game ya Kesho ili Chelsea iweze kusonga mbele?? Tujadili kimpira bila Mapenzi.. Karibuni.
Siku hii Zouma hakufanya mistake hata moja. Alipiga kazi vizuri sana.
Kwani mbappe ana miaka 21 ..Wewe toka rashford akutungue akili yako haitulii kabisa muone mwanasaikolojia hata asipocheza bado unaweweseka tu miaka 21 tayar kafikisha goli 50 ukiacha mbape kinda yupi kafika huko? Acha woga View attachment 1246949
Iyo kazi tuachie sisi ...awa wakina mama wanakuja geto lazima walale bila nguo.Asee, yani nitasikitika kweli kama mkipigwa tena na nyumbu hapohapo kwenu. Msiniangushe tafadhali, tulale kwa amani. Maana yale majamaa mechi mbili tu ishaanza kuwa TABU.