OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Hahahaha hii Arsenal inamtegemea Auba tuuAll.
Kesho akipangwa anascore tena. Ila natamani tungekutana na nyinyi hiyo kesho huyo bwana Arizabalaga watu wajitungulie mbali
Kesho mnapigwa tena



Hahahaha hii Arsenal inamtegemea Auba tuuAll.
Kesho akipangwa anascore tena. Ila natamani tungekutana na nyinyi hiyo kesho huyo bwana Arizabalaga watu wajitungulie mbali



Tulia wewe Kepa aliyezubaagaHiv yule Leno ana clean sheet ngap?



Sasa Pulisic leo tu ana goal tatu KUBWAAAAA ..uyo Pepe ana tofauti gani na Rashid?Ndio maswali gani hayo?wewe umeuliza magoli au magoli ya epl?
Mkuu nenda epl .com then player comparison ukipata jibu tulia naloHiv yule Leno ana clean sheet ngap?
Kesho ni mtapigwa mkuu..All.
Kesho akipangwa anascore tena. Ila natamani tungekutana na nyinyi hiyo kesho huyo bwana Arizabalaga watu wajitungulie mbali
Acha kelele wewe ,wekaga akiba usije kujipiga ban hapa wenzio mvua jua tupoSasa Pulisic leo tu ana goal tatu KUBWAAAAA ..uyo Pepe ana tofauti gani na Rashid?
Kachuja kama Kun AgueroAbraham kachuja sana hizi mechi 2 zilizopita, tatizo ni nini hasa au ndiyo ilikuwa ni nguvu za soda Bosi?
Kepa angejitahidi angezipangua japo yale mashuti hata makipa hodari wasingeweza kuyapangua hasa lile la kubabatizaAah siwezi kulaumu ila vijana wamejitahidi zile goli mbili hata sioni kama ni makosa ya beki
Kupigwa ni matokeo. Unadhani Soton alijua kama jana anaenda kubakwa mara tisa? Au leo Burnley alijua kama nyinyi vibonde mngebahatisha mara nne?Kesho ni mtapigwa mkuu..
Hivi wewe mshamba uliangalia mechi jana uone Chelsea walivyodominate mchezo kwa vipindi vyote?Kupigwa ni matokeo. Unadhani Soton alijua kama jana anaenda kubakwa mara tisa? Au leo Burnley alijua kama nyinyi vibonde mngebahatisha mara nne?
Sema kuna kikosi nikikiona najipiga ban kwa muda.