Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kupigwa ni matokeo. Unadhani Soton alijua kama jana anaenda kubakwa mara tisa? Au leo Burnley alijua kama nyinyi vibonde mngebahatisha mara nne?

Sema kuna kikosi nikikiona najipiga ban kwa muda.
Hivi wewe mshamba uliangalia mechi jana uone Chelsea walivyodominate mchezo kwa vipindi vyote?
 
Hivi yule jamaa anaejiita Aroon sijui nani hivi nini kimempata mana jamaa alikuwa hatoki hapa jamvini lakini baada ya vijana Wa London kuanza kudondosha dozi jamaa kapotea aisee mwambieni huko alipo kuwa sisi Chelsea hatunaga masengenyo aje tu mana tulijua one day atajificha tu na tabiri zake za kukalili.
 
Nikiwa kama shabiki wa chelsea , nimefurahi sana kwa ushindi wa jana . Ila ningependa nimtetee kipa wetu #kepa kwa yale magoli mawili aliyofungwa .

Goli la kwanza anastahili lawama kidgo kwa maana alichelewa kuwa kwenye position nzuri ya kuruka na kusave , lakini kwa goli la pili ule mpira ulimgusa Tommori ndo mana ukampoteza .

Huwezi ukasema krpa mbovu wakati bado defence yetu haijawa ya uhakika pia kumbuka kuna save hatari mno ambazo aluzifanya kwenye mechi . Binafsi naamini na nasema KEPA ni kipa mzuri kwa chelsea.

#CfC #Kepa
 
Captain America
chelseafc-20191027-0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom