DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Hivi timu gani kati ya top six inaifikia Man Utd kwa penalty nyingi au hata nusu ya penalty alizopewa Man Utd hadi sasa hivi?
Haya majamaa yanapewa penat zakucheba


yatakuwa yananunua mechi tuHivi timu gani kati ya top six inaifikia Man Utd kwa penalty nyingi au hata nusu ya penalty alizopewa Man Utd hadi sasa hivi?


yatakuwa yananunua mechi tushida si pedro wa alonso shida ni mbinu gani za kudhinda game unamtoaje pulisic unaacha meingereza odoi abraham na big match ni uongo giroud huwa ana bahat na anatia preshaGoli la kwanza la Alonso, jamaa hayuko serious
Goli la pili la Pedro, anastahili kukaa benchi mpaka astaafu
Timu B ilikuwa mazoezini leo, hakukluwa na Morale ya kufunga, walicheza vizuri uwanjani lakini kule mbele hawakuwa na haraka
Wameanza kupiga na hesabu za kubeba ubingwa![]()
Bado Chelsea haijapata consistency inavyotakiwa, pia tusisahau kikosi tulichokuwa tunacheza nacho kilikuwa kina uzoefu mkubwa kwa big matches kuliko kikosi cha leo cha Chelsea
Wanaingia kwenye box mara ngapi na kwa spidi ipi upo nje ya 18 unataka penat kizur kuna mashine ya kuangalia hizo panet ukiacha mech ya jana tu sio kwa utash wa refa peke yake kwa sass hamna cha kusingiziaHivi timu gani kati ya top six inaifikia Man Utd kwa penalty nyingi au hata nusu ya penalty alizopewa Man Utd hadi sasa hivi?
Nashukuru na wewe , umeliona hilo yani, anapoteza mpira kizembe kabsa then anaenda kucheza rafu kwenye box , Pedro nae badala ya kucheza mpira anacheza rafu zisizo eleweka . wamenikera sana hawa jamaa.Goli la kwanza la Alonso, jamaa hayuko serious
Goli la pili la Pedro, anastahili kukaa benchi mpaka astaafu
Timu B ilikuwa mazoezini leo, hakukluwa na Morale ya kufunga, walicheza vizuri uwanjani lakini kule mbele hawakuwa na haraka
Naona mnaimba wimbo mmoja sasa penati zinazuia nini usishinde kama unauwezo? Yaani ukichezewa rafu uachwe tu james ana spid na mwepesi kumkaba inahitaj umakini sana huwez peleka li mwili lako ukabaki salamaHaya majamaa yanapewa penat zakuchebayatakuwa yananunua mechi tu
Asee wametuotea tena ..yani wiki hii hatutatulia aise...Piga mbuzi hao.
Lampard analiamini garasa Willianuingereza wa kocha unatucost sana
Sisi hatujui hilotunachojua tumecheza na ng'ombe fc na tukampigia pale pale kwake hayo ya kikosi b mnayajua nyie na kocha wenu lampard



anataka kuikataa timu yakeAbraham kwa kung'aa kwa msimu kimagoli hana tofauti na Bahanuzi wa Yanga FC, yani anakimbia kimbia tu![]()









uingereza wa kocha unatucost sana
Lampard anacheza na akili za watu (Master mind) kikos kikitoka utakuta ni chamauaji



da kuna post ukianza kuzitafuta za kucheka zipo nyingi sanaUbaguzi umewajaa kuliko hata hao waingerezashida si pedro wa alonso shida ni mbinu gani za kudhinda game unamtoaje pulisic unaacha meingereza odoi abraham na big match ni uongo giroud huwa ana bahat na anatia presha
zilikuwa halali au sio?? kama halali haijalishi hata kama zikiwa 100/ matchHivi timu gani kati ya top six inaifikia Man Utd kwa penalty nyingi au hata nusu ya penalty alizopewa Man Utd hadi sasa hivi?
alimpunzisha nani?Lampard hakupenda kuendelea kubaki carabao ndo maana alipuuza maana Chelsea ina mashindano mengi sana
Herrera na Pogba kwenye FA last season hapo hapo tunduni kwako waliwekwaNaona mnaimba wimbo mmoja sasa penati zinazuia nini usishinde kama unauwezo? Yaani ukichezewa rafu uachwe tu james ana spid na mwepesi kumkaba inahitaj umakini sana huwez peleka li mwili lako ukabaki salama
Manchester alipata penet dakika ys 20 ina maana zote 70 zilzobaki zilikuwa ni penat tu chelsea walishindwaje kusawazisha na kushinda tena kwao? Angalia rekod ya miaka hii 3 chelsea hafungwi bahat mbaya anafungwa uhalali na habahatishwi mara ya mwisho hapo kwake katokea tundu la sindano martial alizitia mbili peke yake mnapoongea muwe kidogo mnabalansi mambo