Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Goli la kwanza la Alonso, jamaa hayuko serious
Goli la pili la Pedro, anastahili kukaa benchi mpaka astaafu
Timu B ilikuwa mazoezini leo, hakukluwa na Morale ya kufunga, walicheza vizuri uwanjani lakini kule mbele hawakuwa na haraka
shida si pedro wa alonso shida ni mbinu gani za kudhinda game unamtoaje pulisic unaacha meingereza odoi abraham na big match ni uongo giroud huwa ana bahat na anatia presha
 
Hivi timu gani kati ya top six inaifikia Man Utd kwa penalty nyingi au hata nusu ya penalty alizopewa Man Utd hadi sasa hivi?
Wanaingia kwenye box mara ngapi na kwa spidi ipi upo nje ya 18 unataka penat kizur kuna mashine ya kuangalia hizo panet ukiacha mech ya jana tu sio kwa utash wa refa peke yake kwa sass hamna cha kusingizia


Kaangalie mech yenu jana mmeingia ndani ya box mara ngapi hata goli moja mlilofunga ni nje ya 18
 
Goli la kwanza la Alonso, jamaa hayuko serious
Goli la pili la Pedro, anastahili kukaa benchi mpaka astaafu
Timu B ilikuwa mazoezini leo, hakukluwa na Morale ya kufunga, walicheza vizuri uwanjani lakini kule mbele hawakuwa na haraka
Nashukuru na wewe , umeliona hilo yani, anapoteza mpira kizembe kabsa then anaenda kucheza rafu kwenye box , Pedro nae badala ya kucheza mpira anacheza rafu zisizo eleweka . wamenikera sana hawa jamaa.
 
Haya majamaa yanapewa penat zakuchebayatakuwa yananunua mechi tu
Naona mnaimba wimbo mmoja sasa penati zinazuia nini usishinde kama unauwezo? Yaani ukichezewa rafu uachwe tu james ana spid na mwepesi kumkaba inahitaj umakini sana huwez peleka li mwili lako ukabaki salama

Manchester alipata penet dakika ys 20 ina maana zote 70 zilzobaki zilikuwa ni penat tu chelsea walishindwaje kusawazisha na kushinda tena kwao? Angalia rekod ya miaka hii 3 chelsea hafungwi bahat mbaya anafungwa uhalali na habahatishwi mara ya mwisho hapo kwake katokea tundu la sindano martial alizitia mbili peke yake mnapoongea muwe kidogo mnabalansi mambo
 
kupigwa sawa kila mtu anaweza kupigwa ila kipigo cha nyumbani kinauma🤣🤣🤣🤣🤣
Maana kuna wajomba,mashangazi,alafu hapo hapo watu wanakukong’oli hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hahaaaaaaaaaaaaaaaa

Hapa vimebaki vilio tu
 
shida si pedro wa alonso shida ni mbinu gani za kudhinda game unamtoaje pulisic unaacha meingereza odoi abraham na big match ni uongo giroud huwa ana bahat na anatia presha
Ubaguzi umewajaa kuliko hata hao waingereza
 
Naona mnaimba wimbo mmoja sasa penati zinazuia nini usishinde kama unauwezo? Yaani ukichezewa rafu uachwe tu james ana spid na mwepesi kumkaba inahitaj umakini sana huwez peleka li mwili lako ukabaki salama

Manchester alipata penet dakika ys 20 ina maana zote 70 zilzobaki zilikuwa ni penat tu chelsea walishindwaje kusawazisha na kushinda tena kwao? Angalia rekod ya miaka hii 3 chelsea hafungwi bahat mbaya anafungwa uhalali na habahatishwi mara ya mwisho hapo kwake katokea tundu la sindano martial alizitia mbili peke yake mnapoongea muwe kidogo mnabalansi mambo
Herrera na Pogba kwenye FA last season hapo hapo tunduni kwako waliwekwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom