Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 24,031
- 42,365
Wewe woman united unasemaje?
Kinachoniuma tumefungwa nje ndani daah ii timu inajifia
Kinachoniuma tumefungwa nje ndani daah ii timu inajifia
Hayo mashindano mengi wanayo wao peke yao wenzao hawana?
Naona walipolala na Nguo wakaamua kukuvua wewe!
Wamegoma kutoa mzigo watatoa wakina tena.Naona walipolala na Nguo wakaamua kukuvua wewe!



Chelsea ingekuwa katimu kidogo kama Arsenal, Man U ya sasa, Spurs watu wasinghamia huku
Hii inaonyesha jinsi Chelsea ilivyo big club na inaogopeka EPL, UKWELI ndio huo, mijitu imejazana humu utadhani Jamii forums kuna uzi wa CHELSEA tu!
Nikipitaga huko kwenye nyuzi nyingine hasa ya Arsenal na Man u kuna ukiwa sana kwa sababu ya misiba ya mara kwa mara inayowakumba majirani zetu mpaka majirani wamechoka kwenda kutoa pole




watu wasipokuja munatamba kuwa wamejipiga ban🤣🤣wakija mudai mnafatwafatwa kwasababu timu kubwa hahahahahaha

juzi tu si nyinyi ndio mlikiwa mnasema Aaron kajipiga ban????
wakati mwenzenu yupo bize na timu yake hawezi kudili na vitimu vidogovidogo kama Chelsea......


🤭


Ww unayesupport huko wapi au ndo wale mmeshndwa shughuli yenu kazi kwenda za wenzenuTena wa muhogo wa jang’ombe
Soma upya nilicho andika usikaze kichwa relax.Mkuu mbona maneno maneno mengi....
Hiyo haitobatilisha kuwa umefungwa
Mara kikosi cha kwanza ,mara futuhi,wale waliocheza ndio wachezaji wenu hata angecheza nani mungechabangwa tu,kwani mlivyogongwa 4 buyu Tomori hakuwepo eti eeeehhhh??????
Hv kwa nn man u katuzoea hv yan anatupga game zote kama wtt......!!!!!
Wamegoma kutoa mzigo watatoa wakina tena.
Hata wewe kwako utatoa tu..
Kila la kheri Chelsea![]()
Hayo mashindano mengi wanayo wao peke yao wenzao hawana?
Wanacheza Europa, mashindano ya timu ya watoto na wale wanaotafuta fitness wakitokea majeruhi halafu na wao wanasema wako na mashindano mengikwani man u anacheza UEFA!?
Huyu jamaa analundo la mapanado pembeni hadi muda huu yupo hoi wazee wa matokeo mfukoni utachana sofa maana kwako hamna viti kama uwanja wa taifa ungeng'oaNext match round 16 carabao cup
Chelsea vs man u saa 23:05
Ndo wakati mzuri wa kulipiza kisasi cha goli 4 kwa man u.





Kujifariji muhimu baada ya kupigwa baki tu baki wakat juzi tu huko timu lako lilikuwa huko na ulikuwa hulali kila alhamisi kwenye futuhi na unarudi tena mwez wa piliWanacheza Europa, mashindano ya timu ya watoto na wale wanaotafuta fitness wakitokea majeruhi halafu na wao wanasema wako na mashindano mengi
Kufungwq ni sehemu mojawapo wa mchezoHuyu jamaa analundo la mapanado pembeni hadi muda huu yupo hoi wazee wa matokeo mfukoni utachana sofa maana kwako hamna viti kama uwanja wa taifa ungeng'oa![]()
Watu kama hao hakuna haja wa kuwaquote ni wa kuwapotezea 2 kwa maana tutakuwa tunashindana na machiziHao vilaza wanaoshabikia sisi kufungwa nawashangaa.
Tumepigwa Ban ya usajili
Tumeondokewa na Hazard.
Hivi Arsenal na Man u mngepigwa ban ya usajili mashabiki si mngekuwa mnashinda makanisani na msikitini kumlilia Mungu wenu timu isishuke daraja.
Hahahah... chelsea haendi europa this time... tena ataongoza kundi... mechi ijayo itaamuaKujifariji muhimu baada ya kupigwa baki tu baki wakat juzi tu huko timu lako lilikuwa huko na ulikuwa hulali kila alhamisi kwenye futuhi na unarudi tena mwez wa pili
Kujifariji muhimu baada ya kupigwa baki tu baki wakat juzi tu huko timu lako lilikuwa huko na ulikuwa hulali kila alhamisi kwenye futuhi na unarudi tena mwez wa pili