lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,487
Kwa Kovacic tulicheza karata nzuriNaona kijana unaongozwa na ushabiki kwahiyo unataka kuniambia di Maria, ozil, khedira, James Rodriguez ni wachezaji wa ovyo ndo maana wakauzwa na Real Madrid?
Kwa Kovacic tulicheza karata nzuriNaona kijana unaongozwa na ushabiki kwahiyo unataka kuniambia di Maria, ozil, khedira, James Rodriguez ni wachezaji wa ovyo ndo maana wakauzwa na Real Madrid?
Sarri aliwahi kusema kuwa yeye hakuwa na idea yoyote kuhusu usajili wa Pulisic, kwa hiyo management ya chelsea ndio ilihusika
Hamna mnachoweza nyie.Tatizo lenu ahadi zenu zinakuwaga za mdomoni![]()
Willan aliongeza mkataba wa mwaka mmoja kuna taarifa zozote za kuongezewa mkataba, anauzwa au kuondoka huru?
Yaani katika uliowataja hapo kiukweli ni Kante tu ndiyo anatisha hao wawili ni makopo.
Kopo moja lina homa ya vipindi kopo jingine liliachwa na timu kubwa duniani. Sikia, mchezaji mkali akiwa Chelsea ataenda Madrid, kama Hazard na sasa hivi Kante anatakiwa. Mchezaji mbovu akiwa Madrid ataenda Chelsea, mfano Morata na huyu Kovacic.
Emery ana tatizo la kuwapa watu positions zisizo zao au kupanga maandazi. So mlicheza na Toreira ndiyo ila hakua position yake.



nilikua najua kuna unajuaga kumbe wewe huna tofauti na kina DullyJr.Real Madrid wasije kuwa waliweka kwenye mkataba buy-back clause wasije wakatunyang'anya Kovacic wetu
Ni management.Aliyependekeza pulisic asajiliwe ni babu sari au management?
Tatatibu utaelewa tu.Naona kijana unaongozwa na ushabiki kwahiyo unataka kuniambia di Maria, ozil, khedira, James Rodriguez ni wachezaji wa ovyo ndo maana wakauzwa na Real Madrid?
Halaf we dogo dogo centre usiniite mi kijana hahahaha mi ni babu aiseeNaona kijana unaongozwa na ushabiki kwahiyo unataka kuniambia di Maria, ozil, khedira, James Rodriguez ni wachezaji wa ovyo ndo maana wakauzwa na Real Madrid?
Karibu mkuu ulilisusa jukwaa lako kitambo sanaNa ndio invyotakiwa Mkuu, Kocha anatakiwa awe na headache katika machaguo kwa kuwa wachezaji wote wanapiga kazi
Ila akipona Kante na Loftus nadhani atakuwa na uwezo wa kucheza mfumo wa 4-4-2 (Diamond) kwa urahisi zaidi.
nilikua najua kuna unajuaga kumbe wewe huna tofauti na kina DullyJr.
Dan Ceballos na Ozil ni wabovu hao? Hebu acha kukariri wewe. Essien alienda Madrid akiwa keshachoka na katumika kupita kiasi akiwa Chelsea.
Niwapongeze Chelsea kwa ushindi mzito Burnley nyumbani kwao ni wagumu aliyeshuhudia game zao nyumbani anajua hilo ushindi wa goli nne ni mkubwa sana .Blue is the color sasa binadamu wanamuelewa pulisic ni nani,vijana wetu wanafanya football kuwa mchezo rahisi sana
Timu lako takataka limekushinda unaishia kutema pumba tu , pathetic !Katika washangiliaji wa liver viazi basi wewe ndio rais wao,
Huezi mkuta shabiki hasa wa liverpool anakuwa na akili mbovu kama zako.....jifunze kwa wenzio,unawadhalilisha dogo
Patnership ya Jorginho na Kovacic imeshaklick tayari, sijui akipona Kante itakuaje, Kova akae bench, acheze Jorginho na Kante, au Kante aendelee kuwa bench,
Lampard namuonea huruma yupo dilema kwa sasa kupanga kikosi
Hahaha dah kwamba hujui mlicheza na vilema siku ile?
Sasa Kama ni hivyo mbona mnalaumu ozili apangwi na kocha lakini pia torreira alicheza but mbaya nae akapotezwa Kama upepo alafu wewe huna midfield ya kapambana na Chelsea kabisa hata ambao unasema hawapangwi yupi midfielder wako anaeweza kupata namba kwa watu Kama kante, gorginho na kovacic sema tu ukweli.
Nishajibu kila kitu hata ulichoniuliza nishajibu we soma koments taratibu utaona.Akikujibu unitaq na mimi
Pulisic aliletwa Chelsea kwa mikakati maalum
Tulimleta ili tuteke soko la mashabiki America
Tatatibu utaelewa tu.
Kwa Uingereza Arsenal ni timu ya tatu kwa wingi wa makombe Man U ya pili. Juve ni timu yenye historia nene huko Italy na duniani kwa ujumla, PSG ni kama Madrid ya Ufaransa, inakusanya nyota watupu.
Haya hao wachezaji uliowataja wapange timu walizoenda.