kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,351
- 12,687
Umefata nini huu mtaa wa matop four? Rudi kwa vilaza wenzio...Aiseeeehhh yaani unahisi kama ligi ishaisha
Umefata nini huu mtaa wa matop four? Rudi kwa vilaza wenzio...Aiseeeehhh yaani unahisi kama ligi ishaisha
Ukumbuke wewe uliwekwa nane mkuuHuyo umuheshimu mkuu alikuweka kamba 4 mtungi
Kwani tulishamnunua mkuu?Kwa Kovacic tulicheza karata nzuri
Jana ndo niliamini maneno ya wapinzani kuhusu kuwepo kwa pqzia pale golini kwetu.







♂️
♂️
♂️Kwani tulishamnunua mkuu?


ndio washabiki wa chelsea niliowazoea hawa🤣🤣hawajui hata wachezaji wao
jamaaanUkumbuke wewe uliwekwa nane mkuu



unataka tulete history???
utakimbia wewe,kiufupi hakuna ambaye hajapigwa kipigo cha mbwa mwizi ila tunazungumzia msimu huu????afadhali hata ungesema msimu uliopita uliogongwa 6 buyu na city
4 buyu na bournamouth 🤣🤣🤣🤣wewe unarukia miaka ya 47 hko zilipendwaWewe toka rashford akutungue akili yako haitulii kabisa muone mwanasaikolojia hata asipocheza bado unaweweseka tu miaka 21 tayar kafikisha goli 50 ukiacha mbape kinda yupi kafika huko? Acha wogaSasa Pulisic leo tu ana goal tatu KUBWAAAAA ..uyo Pepe ana tofauti gani na Rashid?
Maisha yanaenda kasi sana CHELSEA anataka LIVERPOOL na CITY wadondoshe point. Tufukuzie ubingwa
ARSENAL anaomba Mungu CHELSEA adondoshe point aingie top 4, ashiriki UEFA CHAMPION.
Kwani tulishamnunua mkuu?
So kipigo cha goli 8 kutoka kwa man u kilikuwa cha miaka 47 iliyopita?Lini????unataka tulete history???
utakimbia wewe,kiufupi hakuna ambaye hajapigwa kipigo cha mbwa mwizi ila tunazungumzia msimu huu????afadhali hata ungesema msimu uliopita uliogongwa 6 buyu na city
4 buyu na bournamouth
wewe unarukia miaka ya 47 hko zilipendwa
Umeshasahau ulipigwa goli 6 kavu dhidi ya chelsea bila kusahau na finali ya ligi ya europa ukapewa dozi 4 bila majibu mwaka huuLini????unataka tulete history???
utakimbia wewe,kiufupi hakuna ambaye hajapigwa kipigo cha mbwa mwizi ila tunazungumzia msimu huu????afadhali hata ungesema msimu uliopita uliogongwa 6 buyu na city
4 buyu na bournamouth
wewe unarukia miaka ya 47 hko zilipendwa
Nilijua still yupo kwa mpokondio washabiki wa chelsea niliowazoea hawa
hawajui hata wachezaji wao
jamaaan
Hamna uwezo huoBaada ya mechi mbili tunakuja kuwapumulia hapo kisogoni





Kwani wewe hujawahi kugongwa goli 8 buyu?So kipigo cha goli 8 kutoka kwa man u kilikuwa cha miaka 47 iliyopita?
Au ndo unataka ujitoe ufahamu kuwa haujawahi kupigwa goli 8
Kwani wewe hujawahi kugongwa goli 8 buyu?
Sasa ukileta habari za miaka wewe ndio una worst defeat iliyo current kbs yan bado ipo sealed hahaha juzi tu ulitapanywa 6 O'clock na city then 4 O'clock na Bournamouth hahahaaaaa game mbili ukawa umekufa 10-0 aiseeeehhhhh,hii ni timu au punch bag?????Ilikuwa mwaja gani? na wewe hizo goals 8 umegongwa mwaka gani?
Huyo aliyegongwa 10-0 akaja akakugonga chuma 4 BAKU... jishtukue basi....Sasa ukileta habari za miaka wewe ndio una worst defeat iliyo current kbs yan bado ipo sealed hahaha juzi tu ulitapanywa 6 O'clock na city then 4 O'clock na Bournamouth hahahaaaaa game mbili ukawa umekufa 10-0 aiseeeehhhhh,hii ni timu au punch bag?????