interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Bado Chelsea haijapata consistency inavyotakiwa, pia tusisahau kikosi tulichokuwa tunacheza nacho kilikuwa kina uzoefu mkubwa kwa big matches kuliko kikosi cha leo cha Chelsea
Apa tujiandae kuitwa majina vibonde, wanawake, cjui nini... kelele zao cunajuaaaaaaaaaaa![]()
