chichariton
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 238
- 260
wikendi hii tutaupiga mwingi sana
PUKKIIIIIIIIIIISisi Chelsea Next game kwa kibonde Norwich kama kawaida Tutaupiga mwingi tu.
Sisi KuupigaMwingi FC mbona tunatisha


Wazee wa mwingi, points wanabeba wengine, mpo?![]()
Mheshimiwa mgeni rasmi tukio unaloliona mbele yako ni la goalkeeper kumzuia mshambuliaji na si kuzuia mpira usiingie golini. Asante!View attachment 1184370




achaga unafiki mkuu ..Kepa ni bora pengine kuliko kipa yeyote apo England..Mkuu mimi na uhakika huu msimu soon tu utaanza kujipiga ban mwenyewe ..ilo Galina shaka kabisa arsenal haitusumbui akili kabisa..@lembu hutaki changamoto? Jana arsenal first half tukiwa 1-1 ilikuwa vurugu tupu, kuwa mvumilivu ukiona vipi unajipiga ban kama Ollachuga hatakagi kuvumilia , au unaenda zako majukwaa mengine upepo ukitulia unarudi.





Sisi tunaomba utoe draw na Liverpool mkuu..itapendeza sana ..wale munaweza wazuia kabisa angalia sisi tulivyofanya super cup ..Come on wanangu wa King power
Leicester XI: Schmeichel, Perreira, Soyuncu, Evans, Fuchs, Ndidi, Tielemans, Choudry, Perez, Maddison, Vardy
CHELSEA TUSICHUKIANE ,KILA MTU AMUOMBEE NJAA MWENZAKE KWA MUDA WAKE






Kuliko yeyote. Leta facts/stats hapa mzee za huyo Kepa na mimi nilete za Allison.achaga unafiki mkuu ..Kepa ni bora pengine kuliko kipa yeyote apo England..
Hahahaa msimu huu nitajipiga ban ila wewe ban zako zitakuwa nyingi, kama ndan ya wiki mbili tu hizi, umejipiga ban si chini ya 3, mm hata moja bado, kwahiyo itakuwa wewe unajipiga ban 3 mm labda 1 kwa mwezi.Mkuu mimi na uhakika huu msimu soon tu utaanza kujipiga ban mwenyewe ..ilo Galina shaka kabisa arsenal haitusumbui akili kabisa..
Tatizo kocha wetu haelewek akipanga kikosi vzr tunashinda , maana kina auba laca wamesema wanataka wakalipe kisasi, shida inakuja kwa kocha ,haelewekiSisi tunaomba utoe draw na Liverpool mkuu..itapendeza sana ..wale munaweza wazuia kabisa angalia sisi tulivyofanya super cup ..
Come one Gunners
Kila la kheri Chelsea![]()
ha ha ha haila chelsea tunaongoza kwa kupress na tunaupiga mwingi sana. sijui kwa nini hatushindi mechi dah![]()
Ni gemu mbili tu za ligi tumecheza.Jamani ollachunga oc yuko wapi?..asijekua ameshajinyonga
Wanaeza kubeba kombe wakati Unai bado anajenga timu..Kocha wa mazoezi huyo, lazima mfike kwenye relegation battle msimu huu.
Kepa na De gea wametofautiana nini mkuu. Wewe jana umetoa draw!!
#KepaOut
#OllachugaOcOut
#LampardOut



Hahaha mkuu Leicester wewe bado hujakipiga naye ..kama mimi nimetoa Naye droo wewe utamuweza?Namtafuta binamu yangu ollachuga
Popote mkimwona mwambien baba swalehe anakutafuta


Kepa na De gea wametofautiana nini mkuu. Wewe jana umetoa draw!!
Kepa atachukua namba ya De gea soon tu apo Spain..
Kila la kheri Chelsea![]()
Wewe ni tatizo mkuu😂😂 | |
Hii tunajua ume kopi na kupaste ..sio wewe uliyeandika.Mambo kadhaa niliyogundua kwenye mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Leicester City.
.
.
Yule beki wa kati wa klabu ya Leicester City, Caglar Soyuncu, ni moja ya beki mzuri ana umbo zuri la kucheza mpira ya juu Giroud, na Abraham, walikuwa wanapata wakati mgumu sana kucheza mpira ya juunina asilimia 80 anaweza kuziba pengo la Harry Maguire.
.
.
Tangu msimu uliopita apewe timu Brendan Rodgers, ni mwalimu wenye falsafa ya kuchezea mpira kumiliki Leicester kutoka kwenye kucheza mpira direct football mpaka kwenye mpira wa possession football amenikumbusha alivokuwa akihifundisha Swansea ikapewa jina la Swansealona.
.
.
Kipindi cha kwanza Brendan Rodgers, alificha makucha yake kucheza kwa tahadhari kubwa na kuonekana na kumuacha Jamie Vardy, peke yake nyuma kama anazurura vile.
.
.
Maddison, yule anaevaa namba 10 wa Leicester City, ni mchezaji mzuri wenye spidi nguvu ana uwezo mkubwa ngome ya Chelsea, ilikuwa inapata wakati mgumu sana kumzuia.
.
.
Willian, bado ajawafiti ametoka majeraha mechi ilikuwa ina kasi sana muda mwingi alikuwa anachelewa kufanya maamuzi pale anapokuwa na mpira.
.
.
Kumtoa Jorginho, Frank Lampard, alifeli alikuwa anatuliza timu akiwa na umri kumuingiza Kovacic, maana yake anakwenda kuongeza nguvu ya kushambulia na kuwapa upenyo Leicester City.
.
.
Zouma naona anazidi kubadilika Siku hadi siku zinavosogea tofauti na mwanzo anaweza baadae huko mbeleni kuwa tishio.
.
.
Mwisho Lampard, unahitaji uwe na plan B kuanzia dakika ya 70 wachezaji wa Chelsea karibia wote walikuwa washachoka hii huenda ikakugharimu.
AROON


