Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

“This is the third game in a row in which Chelsea have been superb in the first half, slack in the second,” says Julian Menz. “Does Frank need to do some extra work on his half-time pep talks?”
 
Tumeupiga mwingi

2+ imetoa kama kawaida , yaan mwaka huu usipokula hela kupitia Chelsea basi tena
Hahahahahahahah, jamaa kabla ya mechi walikuwa wanatembea vifua mbele wamevua na mashati, ukiwauliza kwann mnajiamini hivi jibu ni kwamba walitoka mbili mbili na Liverpool wakafungwa penati na penati hazina mwenyewe
 
ulitaka achukue asernaAnal
Naona umepanik ,kawaida tu ,mbona wenzako wakiona hali ngumu, wanajipiga ban

Nilishawaambien mpaka mech ya 10 , mkiingia top 6 bas mnaenda kuchukua EPL

Mna mech na Norwich & shefflied , mkishindwa kubeba point 6 nabadil mawazo, mnashuka daraja maana mtakuwa bado mnakibarua na kina Everton ,Watford , wolves hapo sijataja top 6 ambao mtawagawia point 4-6 kila mmoja
 
Timu imecheza brilliant 25 minutes tu baada ya hapo ilikuwa ni mechi ya Derby County vs Leicester
 
Hiyo ni nguvu ya kushuka daraja, hakunaga nguvu ya soda ya namna hiyo
Kwa mtindo huu mimi naona tumepona
Lampard fanya mabadiliko haraka yenye tija

Kama high pressing inachosha vijana punguza speed
Tunakuwa kama nguvu za soda bana!!
 
Tunaona kama manure kili kipigo walituonea nakusema ngoja kocha ana makali yake ikaja game ya liver tukatolewa bado et sababu yalikuwa ni matuta aya leo leicester tukasema tunaanza washa moto wapiii
Khaa asa tutamfunga nani
 
Subirini
Chelsea bado iko kwenye mpito

Hata kama kocha ni mzuri namna gani huwezi pewa timu yenye vijana wageni wengi hivi halafu ukaperform miracle day 1 or 2
 
Hawa watu wa Chelsea aiseee ni kituko, mechi kabla hazijaanza huwa wameshinda huku wakiona Liverpool kafungwa, mechi inapopigwa dk 90 Liverpool kachukua points 3 wao wanapambana na kuupiga mwingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom