Kyatile
JF-Expert Member
- Feb 5, 2017
- 1,739
- 1,585
Hivi ndo huwa vinawagawa kwenye jukwaa lenu huko. Sisi hatuna upumbavu kwma huo
Waache Haters walete dharau lakini sisi Chelsea tunajivunia kuupiga Mwingi tu hata kama hatushindi.
Lampard ni Gineus wa Pressing kuliko kocha yeyote wa EPL.
Mbona msimu huu timu zitatukoma kwa Kupress.