Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Today is a must win game endapo Lampard atapanga kikosi kilichoanza game ya Loserfool juzi sion leicester akichomoka leo
kupata vichekesho kama hivi unabonyeza ngapi?
images.jpeg
 
Kovacic anasaidia ktk ku-balance team pale katikati anakaba na anatulia na mipira..huyu Abrahamu ilikuwa haina haja ya kuingia

Hivi wale waliokua wakitusifia abraham wapo wapi? mpaka clip za youtube walikua wakituekea
 
Tunaona kama manure kili kipigo walituonea nakusema ngoja kocha ana makali yake ikaja game ya liver tukatolewa bado et sababu yalikuwa ni matuta aya leo leicester tukasema tunaanza washa moto wapiii
Khaa asa tutamfunga nani
funga hata ndoa tu
 
Subirini
Chelsea bado iko kwenye mpito

Hata kama kocha ni mzuri namna gani huwezi pewa timu yenye vijana wageni wengi hivi halafu ukaperform miracle day 1 or 2

Sarri alishinda karibu 12 games mfululizo alipochokua timu hiyohiyo.
 
Tuko vizuri ni bora kuanza kwa kusuasua na kumaliza vizuri,mbio hizi ni marathon never give up
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Ninachotumaini na iwe hivyo ni kwamba Lampard anajifunza na atarekebisha
Ninaomba RLC, Rudiger na Reece apone na wawe fit haraka
Mason Mount
Emerson
Kante
Azippilicueta
Pedro
Kepa
Ndiyo wenye uhakika na namba uwanjani. Maeneo mengine yaliyobaki bado Lampard hajapata watu. Je Loftus Cheek ataweza kum-outshine Mount?
 
Mimi bado naamini timu yangu pendwa itakuwa pouwa na itacheza soka safi. Mdogo mdogo chelsea fareva.
 
Tumefungwa wadau na hasa kipindi cha pili tumezidiwa na sababu hasa ni;
1. Wachezaji wametumia dk 120 kucheza dhidi ya timu nzuri katikati ya wiki

2. Leicester ni timu nzuri na inacheza vizuri hasa katikati

3. Leicester wana kocha mzoefu anayejua kucheza mechi kubwa.

Mimi kwangu bado naona huu ni mwanzo kujua kama timu ni nzuri mbaya. Nimejipa mechi 10 kufanya evaluation.
 
Chelsea beki zake zinamuangusha Sana msimu huu unaweza kuwa mbaya sana kwa Chelsea. Striker butu. Beki tatizo
2 points dropped. Actually hata hiyo moja ni bahati maana zile counter attacks za Leicester zilikuwa za kiwango cha Stigler Gorge. Nadhani kuna haja ya kuhakikisha Batshuayi anabaki tu. Tammy na Giroud hawatupeleki popote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom