nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 6,496
- 11,201
sawa.Hujui maana ya plastic fan!
sawa.Hujui maana ya plastic fan!
Luiz bado the best ukicompare na uozo wa kina zuma na christensen sijui, anawazidi mbali sn No matter what.Untachaeble wako Arsenal. Chelsea ni klub kubwa kuliko wachezaji wake. Kwenu Auba na Luiz ndo untachable kwa sababu they are bigger than your club
Unapanic kijinga kolo wewe, Unajikuta chelsea timu ya baba ako, sio?Wewe punguani kweli hebu fikiria ulichoandika kama kinaendana na uhalisia Luiz ni above 32 years leo hii awe untouchable? Hivi unajua policy ya Chelsea kwa wachezaji wenye umri huo? Nakushauri endelea na kubeti achana na Chelsea yetu
Sasa kama we sio plastic fans kwanini uitakie kheri Chelsea halafu unamtilia shaka Kocha? Ndo mana jamaa amekuuliza unaelewa maana ya plastic fansDuh, nilipoanza kushabikia chelsea ulinikaribisha wewe?
You dont need plastic fans, who are you?
Wewe ni mmiliki wa timu?
Kante kwa Sasa ni box to box midfield. Kwa pressing ya Lampard amemweka namba nane ili ikate umeme hukohuko mbele. So Joginho anabaki kutumika kama alivyomtumia Sari.
Sasa kama we sio plastic fans kwanini uitakie kheri Chelsea halafu unamtilia shaka Kocha? Ndo mana jamaa amekuuliza unaelewa maana ya plastic fans
Unapanic kijinga kolo wewe, Unajikuta chelsea timu ya baba ako, sio?
kocha ameshindwa kuleta ushindi kwenye mechi mbili,Sasa kama we sio plastic fans kwanini uitakie kheri Chelsea halafu unamtilia shaka Kocha? Ndo mana jamaa amekuuliza unaelewa maana ya plastic fans
Usikimbie uzi baadaeLeo ushindi upo simple sana kwa lecister, goli nyingi tu
Kama unatumia arguments za AROON kusema Chelsea anamaliza nafasi ya kumi basi akili zenu ni sawa. Mtu mwenye akili hawezi kutumia mechi 2 kufanya judgement ya mwisho wa ligi. 2016/2017 tulipigwa na Liver 2-1 tukapigwa na Arsenal 3-0 lakini msimu huo huo tulibeba EPL. Ifike mahali kila mtu ajifunze kufikiria maana tumepewa uwezo huo
Tunza huu uzi halafu baada ya mechi 10 uje kuniambia tena kama mimi navuta sigara wewe unavuta au uliwahi kuvuta bangiWewe akili zako si nzuri au unavuta sana sigara, Liverpool wameanza kwa ushindi wa kusuasua kivipi, watu wengine akili zenu hata bashite ananafuu
Sifa kubwa ya mchezaji ambaye ni aged hata kama ni mzuri kama LuizWewe punguani kweli hebu fikiria ulichoandika kama kinaendana na uhalisia Luiz ni above 32 years leo hii awe untouchable? Hivi unajua policy ya Chelsea kwa wachezaji wenye umri huo? Nakushauri endelea na kubeti achana na Chelsea yetu
Tofauti yake chini ya lampard kante anakuwa free kucheza maeneo yote na jorginho na kovacic wanakuwa flexible if jorginho na kovacic wakipanda kante arudi chini na ikitokekea kovacic na kante wakipanda jorginho arudi chini na pia kante na jorginho wakipanda kovacic anarudi chini kiufupi Kuna kuwa hakuna permanent no 6 au 8 ndo maana Mashabiki hawaongei.I think umenielewa.Lakini wengi wenu mulikua munalalamika wakati sarri alipokaua akimchezesha box to box na mpaka mukafikia kutaka kocha afukuzwe na sababu kuu ni kua hamchezeshi kante namba 6
Tofauti yake chini ya lampard kante anakuwa free kucheza maeneo yote na jorginho na kovacic wanakuwa flexible if jorginho na kovacic wakipanda kante arudi chini na ikitokekea kovacic na kante wakipanda jorginho arudi chini na pia kante na jorginho wakipanda kovacic anarudi chini kiufupi Kuna kuwa hakuna permanent no 6 au 8 ndo maana Mashabiki hawaongei.I think umenielewa.
Kwan kuna wao bisha hata hili?Wadau tusiwe wabishi. Kante hachezi kabisa mbele ya defenders. Bado anatumika kama alivyokuwa anatumika kipindi cha Sarri. Naomba Leo mu-analyse vzur uone
Una uhakika na ukisemacho?Leo ushindi upo simple sana kwa lecister, goli nyingi tu
Kwan kuna wao bisha hata hili?