Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mheshimiwa mgeni rasmi tukio unaloliona mbele yako ni la goalkeeper kumzuia mshambuliaji na si kuzuia mpira usiingie golini. Asante!
FB_IMG_1566113806116.jpeg
 
Wakuu jana David luiz nimemkubali aisee nilikua namuona garasa wakati yupo chelsea ila jana kaniprove wrong.

David luiz hakutakiwa kabisa kuachwa aondoke Chelsea, ila kiburi cha lampard kujiona anajua kuliko kitamtokea puani msimu huu.Kuna wachezaji ni untouchable lazima akubaliane na hilo kwanza (eg Auba, Pogba,Hazard,D.luiz, et al )
 
Kwa mwendendo wa ligi ulivyoanza wa Man city kupoteza point mapema na Liverpool kushinda kwa kusuasua, Chelsea, Man U, na Arsenal kuimarisha vikosi vyao, ubingwa sio wa timu mbili kama ilivyokuwa mwaka jana
 
Hili jukwaa bana hata kujadili mambo yetu imekuwa ni shida, karaha na kero kubwa kwa sababu ya wahamiaji haramu ndio wako wengi humu
@lembu hutaki changamoto? Jana arsenal first half tukiwa 1-1 ilikuwa vurugu tupu, kuwa mvumilivu ukiona vipi unajipiga ban kama Ollachuga hatakagi kuvumilia , au unaenda zako majukwaa mengine upepo ukitulia unarudi.
 
Kwa mwendendo wa ligi ulivyoanza wa Man city kupoteza point mapema na Liverpool kushinda kwa kusuasua, Chelsea, Man U, na Arsenal kuimarisha vikosi vyao, ubingwa sio wa timu mbili kama ilivyokuwa mwaka jana
Wewe akili zako si nzuri au unavuta sana sigara, Liverpool wameanza kwa ushindi wa kusuasua kivipi, watu wengine akili zenu hata bashite ananafuu
 
Msimamo wa Leo:

√ Chelsea akishinda atakamata nafasi ya 11

• Akitoka Sare atakamata Nafasi ya 15

× Akifungwa atakamata nafasi ya 20


Nadhani AROON alikuwa sahihi aliposema Chelsea atamaliza ligi kuanzia Nafasi ya 10 na kuendelea.
Kama unatumia arguments za AROON kusema Chelsea anamaliza nafasi ya kumi basi akili zenu ni sawa. Mtu mwenye akili hawezi kutumia mechi 2 kufanya judgement ya mwisho wa ligi. 2016/2017 tulipigwa na Liver 2-1 tukapigwa na Arsenal 3-0 lakini msimu huo huo tulibeba EPL. Ifike mahali kila mtu ajifunze kufikiria maana tumepewa uwezo huo
 
Kwenye msimu wa kwanza wa conte mlitutesa sana kwenye vibanda-umiza nyie.......watu hadi wakawa wanasema hii ni chelsea ya viwanda....sahizi mpigwe tu kwakweli hakuna namna
 
Wakuu jana David luiz nimemkubali aisee nilikua namuona garasa wakati yupo chelsea ila jana kaniprove wrong.

David luiz hakutakiwa kabisa kuachwa aondoke Chelsea, ila kiburi cha lampard kujiona anajua kuliko kitamtokea puani msimu huu.Kuna wachezaji ni untouchable lazima akubaliane na hilo kwanza (eg Auba, Pogba,Hazard,D.luiz, et al )
Wewe punguani kweli hebu fikiria ulichoandika kama kinaendana na uhalisia Luiz ni above 32 years leo hii awe untouchable? Hivi unajua policy ya Chelsea kwa wachezaji wenye umri huo? Nakushauri endelea na kubeti achana na Chelsea yetu
 
Wakuu jana David luiz nimemkubali aisee nilikua namuona garasa wakati yupo chelsea ila jana kaniprove wrong.

David luiz hakutakiwa kabisa kuachwa aondoke Chelsea, ila kiburi cha lampard kujiona anajua kuliko kitamtokea puani msimu huu.Kuna wachezaji ni untouchable lazima akubaliane na hilo kwanza (eg Auba, Pogba,Hazard,D.luiz, et al )
Untachaeble wako Arsenal. Chelsea ni klub kubwa kuliko wachezaji wake. Kwenu Auba na Luiz ndo untachable kwa sababu they are bigger than your club
 
Kante kwa Sasa ni box to box midfield. Kwa pressing ya Lampard amemweka namba nane ili ikate umeme hukohuko mbele. So Joginho anabaki kutumika kama alivyomtumia Sari.
Mnachekeshaga sana mkilazimisha Kante achezeshwe namba 6. wakati Hata lampard amelipotezea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom