lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
Emerson ni habari nyingine, Ayoze Perez jana kafichwa kwenye gunia. Jana nafasi iliyoharibu ni ile ya midfields hasa ya Jorginho, Kante hakuwa kwenye form yake na Kovacic alipoingia hakuweza kuchange game. Pia Azpi alikuwa ndio uchochoro baada ya hao mbweha kuhundua kuwa Emerson hapitiki wakahamia magharibi. hali ndivyo ilivyokuwa Ndugu yangu. Hata akina Zouma na Christiansen tukuwashutumu tunawaonea bure walijitahidi kwa uchanga wao. I hope Reece James akipona, Azpi atafuata nyayo za Carhill za kusugua benchi akiwa nahodha, Unahodha wake utaishia dressing roomAlonso hawezi kupata namba tena maana Emerson yupo katika kiwango cha juu. Tena nyuma hatuko wabovu labda mbele ndo hatuna striking force. Udhaifu wetu ni katika kuzuia counterattack tunapokuwa tunashambuliwa. Maana when you press high like Chelsea is currently doing, the fact is that you may be harmed on counterattack. Labda kwa mbele kuna tatizo kubwa kwa striker. Giroud hawezi kucheza mipira ya chini. Tammy talented ila EPL anahitaji muda kuimaster na inaweza kumchukua hata msimu mzima.
Ila nyuma Zouma na Christensen kwa mechi hizi mbili wameonyesha ukomavu. Akija Rudiger tutaimarika zaidi
Lampard revealed last week that the 19-year-old will be given a major role
“Reece James coming back, who is going to be a big player for us, I think.”


