Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,389
yule mzee mifegi havumilikiMna utani nyie. Si bora kubaki na Sarriball kuliko kulamba matapishi tena. Mou hana jipya kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
yule mzee mifegi havumilikiMna utani nyie. Si bora kubaki na Sarriball kuliko kulamba matapishi tena. Mou hana jipya kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mna utani nyie. Si bora kubaki na Sarriball kuliko kulamba matapishi tena. Mou hana jipya kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sarri ball ni sumu inayoua Chelsea taratibu.. Asipoondoka mapema itakuwa tatizo..Mna utani nyie. Si bora kubaki na Sarriball kuliko kulamba matapishi tena. Mou hana jipya kwa sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sarri ball ni sumu inayoua Chelsea taratibu.. Asipoondoka mapema itakuwa tatizo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnachosema ni kweli ila siyo Mou bhana.yule mzee mifegi havumiliki
kama hazard ataondoka,then tukawa tumefungiwa kusajiri,kwa ukaidi wa yule mzee itakuwa disaster,yaani msimu ujao itakuwa ni rahisi sana kwa timu yoyote kuchukua points 3 kwetu
Si rahisi kama unavyoelezea hapo. Yawezekana uwepo wake ndio unakeamisha mambo. Akiondoka ataeapa uhuru wachezaji wengine kuonekana zaidi.kama hazard ataondoka,then tukawa tumefungiwa kusajiri,kwa ukaidi wa yule mzee itakuwa disaster,yaani msimu ujao itakuwa ni rahisi sana kwa timu yoyote kuchukua points 3 kwetu
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde, ni kwamba winga wa Chelsea, Eden Hazard ameshakubaliana kujiunga na Real Madrid mwishoni mwa msimu huu kwa mkataba wa miaka mitano uku mshahara wake ukiwa paundi milioni 14 kwa mwaka.
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Hawa chelshit mtaa wa kumi unawahusuKwa taarifa nilizozipata hivi punde, ni kwamba winga wa Chelsea, Eden Hazard ameshakubaliana kujiunga na Real Madrid mwishoni mwa msimu huu kwa mkataba wa miaka mitano uku mshahara wake ukiwa paundi milioni 14 kwa mwaka.
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
MOU is far 1,000 times better than Sarri, Asipogombana na wachezaji, MOU ana mbinu kwa kila mechi, hatabiriki, kama Sari. Sarriball imekuwa kama kilevi
Mou huyu huyu anaelilia vitita vikubwa vikubwa vya usajili??Mou huyu huyu aliepewa almost 400£m za usajili Man Utd akasajili wachezaji ambao akaja kuwakataa yeye mwenyewe? Au mmeshakata rufaa kifungo kimeisha?MOU is far 1,000 times better than Sarri, Asipogombana na wachezaji, MOU ana mbinu kwa kila mechi, hatabiriki, kama Sari. Sarriball imekuwa kama kilevi
I like MOU counter attack strategy
Ukifuatilia documentary ya counter attack ya Real Madrid 2011 utampenda MOU, counter attack yake akiwapata wachezaji wazuri kwa huo mfumo ni kama shoti ya umeme kwa timu pinzani
Hazard Deal Done, kuanzia tarehe 30 June 2019 atakuwa mchezaji wa Real Madrid
Kwa sasa tufocus kubeba Europa kwanza. Masuala ya Harzad na kocha tutajadili baadae..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tukishabeba ndo utajua ni europa ipi mkuu.Europa ipi labda?
Unabebea wapi na mm nipo huko nakusubiri kibonde wangu ChelseaKwa sasa tufocus kubeba Europa kwanza. Masuala ya Harzad na kocha tutajadili baadae..
Sent using Jamii Forums mobile app
Top 4 kaona hali ngumu ,jumlisha na ratiba yake , ameona ajifichie Europa, amesahau Ana timu mbovu hata huko Europa tiamajitiamajiEuropa ipi labda?
Yaan mbebe na kikosi hiki cha kina kepa?