Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kaikuta timu anataka aibadilishe usidhani unapobadilisha mfumo ndan ya msimu mmoja ni jambo jepesi. Klopp mwenyewe huu msimu wa tatu anajenga timu. So far kadri siku zinavyoenda ndio unazidi kugundua makosa yako. Kwa muda aliokaa na timu toka achukue timu amefanya vizuri ni swala la muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
inategemeana na aina ya wachezaji-wachezaji aliwakuta klop ni wa kawaida sana hivyo lazima kumuchukua muda mrefu kujenga timu tofauti na wachezaji aliwo wakuta sari chelsea ambo wengi ni wa kiwango cha juu
 
Ndiyo Klopp anatengeneza Timu Na Kila Mtu anaona Kutokana na Utafauti Wa Timu aliyoikuta na Anavyoibadilisha kidogokidogo that is why Hukutii Bodi ya Timu Kumpressurize Hata kama hana Kombe.

Ni tofauti na Sarri ambaye Kakuta Timu ipo imekamilika Yeye atumie tu bila ya Matengenezo Bali anaboresha tu.
Blaza mchambuzi umetumia kigezo gani kusema Chelsea ni timu iliyokamilika na Liverpool bado haijakamiliaka ukiliangalia performance ya timu hizi msimu uliopita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo Klopp anatengeneza Timu Na Kila Mtu anaona Kutokana na Utafauti Wa Timu aliyoikuta na Anavyoibadilisha kidogokidogo that is why Hukutii Bodi ya Timu Kumpressurize Hata kama hana Kombe.

Ni tofauti na Sarri ambaye Kakuta Timu ipo imekamilika Yeye atumie tu bila ya Matengenezo Bali anaboresha tu.
Kwa hiyo msimu huu liverpool isahau kuhusu ubingwa
Mbona unajikana mwenyewe mkuu
Sio wewe uliesema mmekamilika na malafyale

E&K
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom