Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuliwaambia Mapema Haya Kuwa SarriBall Ni pasi na kwenda Mbele tu Bila Ya Ushindi! Sasahivi Mushaanza Kutuelewa.
Kaikuta timu anataka aibadilishe usidhani unapobadilisha mfumo ndan ya msimu mmoja ni jambo jepesi. Klopp mwenyewe huu msimu wa tatu anajenga timu. So far kadri siku zinavyoenda ndio unazidi kugundua makosa yako. Kwa muda aliokaa na timu toka achukue timu amefanya vizuri ni swala la muda tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pass 838. Chelsea
Pass 131. Newcastle

Ukisikia tunaongoza kwa pasi nyingi usishangae
Kabla ya hii match tulikuwa na pass 1368 + 838 utajua mwenyewe utapata ngapi
Screenshot_20180826-200707.jpg


E&K
 
Mkuu huu mpira wa Sarri kwa ligi ya England asipobadilika atapata tabu sana kushinda.

Maana timu nyingi za England zinatumia sana kaunta taki.

Tumeshinda lakini mfumo wa Sarri sio wa kutegemea ushiñdi kwa asilimia hata 70%.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mfumo mzuri. Sema bado hajapata watu perfect kea asilimia angalau 90 na waliopo pia hawaja master vizuri. Mpemuda ni bonge la mfumo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Hapana Cha Aibu Mkuu! Kilichobadilisha Story Ni Kuwa Mumeshinda tu!

Lakini Mpira Uliopiga Passes 913 halafu Ukawa na Shots On Target 3 tu Kwa dakika 90 + 5 basi Kuna tatizo Kwenye Mfumo.
Klop ana msimu wa nne sasa bila kikombe huko jukwaani kwenu mnasema bado anajenga timu, uko hapa bize kumshambulia Sari , serious dude.Take a chill pill.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom