Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,943
Mkuu kwakua ulitaka tufungwe ndio maana unaandika hiki kitu. Hujaandika kama mtu anayejua kuchambua mpira. Nakushauri rudi kaangalie penalty ilivyokua Numbisa kakuwekea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa refa katutoaje kimasomaso.?Sijaikanuka! Najua Kama hile Ni Penalty Clear Kabisa Hata Ningelikuwa Refa Ni Mimi Ningeliamuru ipigwe.
Mkuu Liverpool bila Salah timu itacheza chini ya kiwango ...magoli yanaweza kufungwa na Firmino an Mane lakini Salah asipokuwepo timu inakosa confidensi kabisa.• Salah ana magoli 2
• Mane Ana Magoli 3
√ Liverpool imeshafunga Magoli 7
√ Katika 7 Salah Kafunga 2 tu
° Hayo 5 yaliyobakia Kafunga nani?
Sasa sijui Hii Post yako umekusudia Kusignify Kitu gani?
Commentary ya wakati wa mechi wamesema Manchester City walishawahi kufikia percentage kama hizi...sikusikia vyema ni ngapi waliongelea.Najua hakuna team iliyowahi kuwa na possession kubwa kiasi hiki
Kama iko ruksa kunikosoa kwa pale england View attachment 847762
E&K
Tulipofikisha pass 670 mbele ya arsenal basi nilijua Sarri ball imeanza kufanya kazi
Hahaha hakuna namna mkuu. Ni kesho tu naomba kwa hilo! ila lolote laweza kutokea, kama mkicheza vizuri basi nitawasapoti.Hongera mkuu. Ila usinifanyie hivyo. Si umeona nilivyokuwa nawaombea mshinde
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulizana hiyo ilikuwa mipango ya Sarri ball king ngwabaDakika ya 65'
Shots On Target 2
Hivi unakuwaje na Possession ya 81% halafu ukawa na Only TWO Shots on Target?
#SarriBall
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwa sarriball hii kitu inakuja
Hii mechi mtapiga passes 1k
Nahema vizuri tu
yani mpira wa hovyo mipasi mingi ambayo haina mpango-yani hawa chelsea wakikiutana na timu kama liverpool wazee wa counter watapata tabu sanaMkuu huu mpira wa Sarri kwa ligi ya England asipobadilika atapata tabu sana kushinda.
Maana timu nyingi za England zinatumia sana kaunta taki.
Tumeshinda lakini mfumo wa Sarri sio wa kutegemea ushiñdi kwa asilimia hata 70%.
Sent using Jamii Forums mobile app
Klop ana msimu wa nne sasa bila kikombe huko jukwaani kwenu mnasema bado anajenga timu, uko hapa bize kumshambulia Sari , serious dude.Take a chill pill.
Sent using Jamii Forums mobile app
Penalty live kabisa haina ubishiNaona Refa Kaamua Kuwatoa Kimasomaso
Mh Ngwaba,Ndiyo Klopp anatengeneza Timu Na Kila Mtu anaona Kutokana na Utafauti Wa Timu aliyoikuta na Anavyoibadilisha kidogokidogo that is why Hukutii Bodi ya Timu Kumpressurize Hata kama hana Kombe.
Ni tofauti na Sarri ambaye Kakuta Timu ipo imekamilika Yeye atumie tu bila ya Matengenezo Bali anaboresha tu.
Na tabu itatokana na David LuizKwa huu mfumo wa Sarri tukikutana na timu yenye kaunta taki tutapata tabu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe naye...yani mpira wa hovyo mipasi mingi ambayo haina mpango-yani hawa chelsea wakikiutana na timu kama liverpool wazee wa counter watapata tabu sana