Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tatizo washabiki wa Chelsea wabishi sana, tuliwaambia mkifika Dec/Jan/Feb lazima muanze kuchechemea mkapiga mikelele weeeh sasa mnaona taratibu mnadrop point na leo mngechezea kichapo isingekuwa kubebwa lol.
 
Masanilo nilikwambia Drogba bila Anelka hamna kitu
 
Tatizo washabiki wa Chelsea wabishi sana, tuliwaambia mkifika Dec/Jan/Feb lazima muanze kuchechemea mkapiga mikelele weeeh sasa mnaona taratibu mnadrop point na leo mngechezea kichapo isingekuwa kubebwa lol.

...wakumbushe hao!,... kutumbua jipu eti wanaamua kumtoa kafara Petr Cech!...😀
 
Masanilo nilikwambia Drogba bila Anelka hamna kitu
Hili ni kweli kabisa na kwa mtazamo wangu afadhali Chelsea wamkose Drogba lakini sio Anelka.

Na results za jana zitamfanya Man U acheze jihadi leo ili kupunguza gap ya points
 
Tatizo washabiki wa Chelsea wabishi sana, tuliwaambia mkifika Dec/Jan/Feb lazima muanze kuchechemea mkapiga mikelele weeeh sasa mnaona taratibu mnadrop point na leo mngechezea kichapo isingekuwa kubebwa lol.

Kwani nyie mmeongeza points ngapi so far katika miezi hiyo? Au ndio yale mambo ya Nyani haoni kundule?!!!!
 
"The Invincible" achana nao kabisa mkuu! Ila nikiangalia kikosi chetu cha sasa uzoefu wa miaka 4 kuwa pamoja na udhaifu wa Utd na L'pool msimu huu nahisi tunaweza kufanya kweli, Chelsea ndio tishio la kweli lakini tutawajua January.
Chelsea ni 6 cylinder engine (Cech,Terry, Lampard,Essien,Anelka na Drogba) Coming January watakuwa ni 4 cylinders engine.

Niliyasema haya na tunayaona, hizi 6 cylinders naona zinazidi kuchoka na karibuni zitabaki kuwa 3 cylinders! Tuone vipi mutakabiliana na maafa ya January.
 
Thanks nawe pia mkuu tupo pamoja sana wanadarajani..

asante kiongozi..nimechelewa kukushukuru nilikuwa kwetu msoga sasa mambo haya ya mtandao hakuna...tuko ukurasa mmoja kiongozi
 
daraja labomoka siku si nyingi, laiti kusingekuwa na kombe la afrika mwaka huu. bado pointi moja tu watu wanapita
 
2964713986-26122009144734.jpg


Angalau baada ya kutoa fweza Chelsick watakuwa na wachezaji watatu ambao ilikuwa waondoke leo kwenda kwenye African Cup. Kutokana na timu hiyo kuwa uchochoro hivi karibuni, mapensioner hao watatu watakabiliana na Cottagers usiku wa leo. Manure wako karibu kabisa na ni tofauti ya kwenda sare tu inatosha kuwadondosha kutoka kileleni.
 
Ha!ha!ha!ha!.....Masa, Mvina...Egylpes, AB-Mwalimu et al ....kijiwe hiki naona kimefulia.....poleni!
 
Mbu umenichekesha sana we wacha tu. Lakini AV aliwapeleka fainali Champions League.
 
Mbu umenichekesha sana we wacha tu. Lakini AV aliwapeleka fainali Champions League.

...Avran Grant ana record safi kabisa,... Acheni-lote naye anaweka rekodi ya kuwarudisha Mabuluu kinyume nyume!


2964713986-26122009144734.jpg





inamana hizi draw mbili tatu zilizotokea hapa karibuni ndio zimemfanya drogba akonde kiasi hiki? na mbu wa africa hawana huruma ukienda na mawazo ndio kabisa lazima wakupige malaria.

...nasikia keshaweka mezani transfer request huyu, 'destination' under the wraps kwasasa, kina Masa na Ab-titchaz wasijekosa kuuona mwaka 2010 bure kwa shinikizo la damu...
 
Khe khe khe sasa vipi?

Chelsick 0 - 1 Fulham Mnataka kurudisha matanga nini?
 
Khe khe khe sasa vipi?

Chelsea 0 - 1 Fulham Mnataka kurudisha matanga nini?

...'Acheni-lote' anataka mchezo!...
mchawi mweupe, 'Huu-is-Giddink' njoo uwaokoe tena hawa!
 
Pantsil na Drog the Bar ipo kazi leo refa kisha waonya wote wawili.

Half time.


Mourinho yupo uwanjani khe khe khe khe
 
Chelsick 1 - 1 Fulham

Khe khe khe Drog the Bar


Chelsick 2 - 1 Fulham

Own goal khe khe khe


Naona sasa kidogo matumbo ya Chelsick yametulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom