Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

CarloAncelotti_2399275.jpg



FrankLampard_2399315.jpg



Lampard_2399327.jpg
 
Nyumba gani hamna lolote, nimeanza kuamini Drogba bila Anelka hamna kitu
 
Tangu wameanza kucheza pamoja Anelka amekuwa akimsaidia sana Drogba,to prove angalia game ambazo Drogba akicheza bila Anelka

Mkuu huwa unaangalia kombe gani? Kwenye CL Drogs alifungiwa mechi tatu za mwanzo nadhani matokeo unayajua, vinginevyo labda umeamua kujaza thread!
 
Mkuu huwa unaangalia kombe gani? Kwenye CL Drogs alifungiwa mechi tatu za mwanzo nadhani matokeo unayajua, vinginevyo labda umeamua kujaza thread!
Unaangalia mechi za timu yako au unapiga kelele tu?
Wakati Drogba kafungiwa magoli alikuwa anafunga Anelka, hata ile game Drogba alivyorudi akafunga magoli 2.Anelka alianza benchi na alivyoingia ndio magoli yakapatikana
 
Unaangalia mechi za timu yako au unapiga kelele tu?
Wakati Drogba kafungiwa magoli alikuwa anafunga Anelka, hata ile game Drogba alivyorudi akafunga magoli 2.Anelka alianza benchi na alivyoingia ndio magoli yakapatikana

Mkuu umelewa? Adios Amigos!
 
cheslea-splash_952126a.jpg



Chelsick goi goi goi goi wakongwe wa goi goi khe khe khe khe
 
JT-splash1_952407a.jpg



Jamaa kashikwa baada ya kutoka kuuza unga sasa kavamia tiketi.

Du! Chelsick wanatisha kwa Umafia!
 
JT-splash1_952407a.jpg



Jamaa kashikwa baada ya kutoka kuuza unga sasa kavamia tiketi.

Du! Chelsick wanatisha kwa Umafia!

kaka umeamua kuongea tu kufurahisha wana JF wasio wapenzi wa chelsea? JT hajawahi kukamatwa au kijishirikisha na biashara ya madawa, na fuatilia vizuri hii issue ya tiketi uelewe. usisome mwanasport then ukaleta hapa hoja zako hazijapembuliwa.

Ukitaka omba msaada utafahamishwa the whole issue.
 
kaka umeamua kuongea tu kufurahisha wana JF wasio wapenzi wa chelsea? JT hajawahi kukamatwa au kijishirikisha na biashara ya madawa, na fuatilia vizuri hii issue ya tiketi uelewe. usisome mwanasport then ukaleta hapa hoja zako hazijapembuliwa.

Ukitaka omba msaada utafahamishwa the whole issue.


terrymain_924431a.JPG



Like for like

Like father like son
 
ha hah ha ha, najua hii story lakini haikuwa na ukweli wowote baada ya upelelezi, walitaka kuuza magazeti.



ENGLAND football captain John Terry's dad is today sensationally caught on video selling deadly COCAINE.

In scenes that will shock the millionaire Chelsea ace, Ted Terry, 55, fixed a deal to supply an undercover News of the World team with the illegal Class A drug.

I mean Terry angewashitaki hao wenye gazeti huko UK ambako sheria ndio msumeno. Waswahili walisema lisemwalo lipo . Chelsick are mafia to the core.

Jamaa wana ushahidi hadi wa video damnit! Kazi kweli kweli simple google it.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom