Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Mechi ya leo haitabiriki hata kidogo wakuu(Man Utd hawatabiriki kabisa hawa jamaa).Cha msingi tuzisubiri hizo dakika 97......ooops sory dakika 90
Dk 97!!!! Man U style!
Mechi ya leo haitabiriki hata kidogo wakuu(Man Utd hawatabiriki kabisa hawa jamaa).Cha msingi tuzisubiri hizo dakika 97......ooops sory dakika 90
"The Invincible" achana nao kabisa mkuu! Ila nikiangalia kikosi chetu cha sasa uzoefu wa miaka 4 kuwa pamoja na udhaifu wa Utd na L'pool msimu huu nahisi tunaweza kufanya kweli, Chelsea ndio tishio la kweli lakini tutawajua January.Angalia pia na aina ya wachezaji mliokuwa nao hiyo misimu uliyoitaja enzi hizo za ubingwa..
"The Invincible" achana nao kabisa mkuu! Ila nikiangalia kikosi chetu cha sasa uzoefu wa miaka 4 kuwa pamoja na udhaifu wa Utd na L'pool msimu huu nahisi tunaweza kufanya kweli, Chelsea ndio tishio la kweli lakini tutawajua January.
Chelsea ni 6 cylinder engine (Cech,Terry, Lampard,Essien,Anelka na Drogba) Coming January watakuwa ni 4 cylinders engine.
haha sisi watoto wa darajani bana si mchezo kuna yule mtoto very slipy anaitwa kalou km akina drogba wakichemsha yupo kalou akina cole tehe lazima mashetani wekundu wazame mara tatu bila pale darajani
My prediction Chelsea 2 MANU 0
Dk 97!!!! Man U style!
Leo wakileta hizo, lazima refa tumpe kibano tu.Itakua wamezidi.
Dk 97!!!! Man U style!
Last season tulimweka babu GIGGS akawafunuka wote,leo waanze Fletcher,Giggs na Carick DROGBA anamfahamu VIDIC kazi imekwishaThe battle of the midfields will dictate the winner of this game, I see only Chelsea winning, Essien, Lampard and co will be too strong for Utd quarter plus their record at Bridge is excellent. 2 - 0 to Chelsea
Last season Kalou aliwaokoa hapohapo darajaniHii principle haiapply Darajani mbona labda wakomae ndani ya 90.
Last season Kalou aliwaokoa hapohapo darajani
Wakuu,
Ninaweza kuicheki hii game online? Kupitia mtandao gani? For free though!
Asante!