Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Its all over Chelsick won 2 -1

Wameponea chupu chupu pensioners wa darajani.
 
_47001725_jm_getty766.jpg





The spy from Inter
 
Its all over Chelsick won 2 -1

Wameponea chupu chupu pensioners wa darajani.

ingekuwa kule kwetu iringa ningekulinganisha na mwanamke muuza pombe za kienyeji kwa jinsi unavyowashwa na mambo yasiyokuhusu
 
ingekuwa kule kwetu iringa ningekulinganisha na mwanamke muuza pombe za kienyeji kwa jinsi unavyowashwa na mambo yasiyokuhusu



khe khe khe sitashangaa asubuhi subuhi tu umeshalewa ulanzi sijui ni ule wa Ihemi au Isimani?
 
Ha!ha!ha!ha!.....Masa, Mvina...Egylpes, AB-Mwalimu et al ....kijiwe hiki naona kimefulia.....poleni!

Kijiwe hakiwezi fulia hiki kipo 24/7 sema watu walikuwa busy kidogo kuonesha umoja pamoja na familia zao.Vp Xmas ulienda kupata mkangafu nini au siku hizi hauendi tena kule mitaa?
 
didier_drogba_682x4_956344a.jpg


Bye bye Drog the Bar Usisahau ukienda Angola usifunge magoli mtolewe mapema hapa darajani hali ni mbaya sana. Nimeongea na roman o mabrovic amesema ataweka fweza kama kawaida, jamaa wametukalia kooni sana. Unafahamu ile number yetu ya simu ya siri au Siyo?

Drog the Bar mawazo yalikuwa mbali sana anafikiria jinsi anavyoweza kuwa mchezaji bora Africa? Damn it Chelsick!​
 
didier_drogba_682x4_956344a.jpg



Bye bye Drog the Bar Usisahau ukienda Angola usifunge magoli mtolewe mapema hapa darajani hali ni mbaya sana. Nimeongea na roman o mabrovic amesema ataweka fweza kama kawaida, jamaa wametukalia kooni sana. Unafahamu ile number yetu ya simu ya siri au Siyo?​


Drog the Bar mawazo yalikuwa mbali sana anafikiria jinsi anavyoweza kuwa mchezaji bora Africa? Damn it Chelsick!​

Mkuu usiwe na wasiwasi kuhusu hawa wachezaji 4 wa africa walioondoka darajani yaani Drogba, Kalou, John Obi Mikel na Michael Essien (anaumwa nyonga)

Kikosi kina vipaji vingi tu wala usiwe na wasiwasi juu ya hili na kukuhakikishia hili we cheki ngoma jpili kombe la FA utaamini maneno yangu. Kumbuka tutacheza game 4 tu za premiership wakati hawa mastaa wetu wakiwa africa, ni Hull, Sunderland, Birmingham na Burnley.

Kwa sasa wanacheza Diamond midfider formation, ambapo anaweza kuwatumia Deco, Lampard, J cole, Malouda, Ballack, Bellete na Yury Zhirkov ingawa pia huwa anaweza cheza beki wa kushoto.

Mbele ambako wengi wana wasiwasi anaweza kucheza Anelka na dogo mwenye speed sana Daniel Sturridge. Pia itakuwa nafasi kwa wachezaji makinda kuonyesha uwezo wao kama Sam Hutchinson, Fabio Borini na Gael Kakuta.

Timu ni kocha bwana, Carlo anajua ku get out of players.. na ndiyo maana tunasisitiza kocha kocha hata kwenye timu yetu hapa

Jiulize:
1. Mbona City wamemtimua kocha wao ?
2. Jiulize Chelsea walimtimua kocha wao Big Phil - kwa nini
3. Jiulize Boltom wamemtimua kocha wao - kwa nini
4. Sisi wetu hadi amalize mkataba sababu siasa imo humo humo ndani-


Kocha ana influence kubwa sana kwenye timu, kocha akichoka kama wetu inakuwa mzigo kwa taifa has sisi wapenda soka tunaumia sana.

Kheri ya mwaka Mpya - Chelsea fun's- Habari tu ni mwamba tunamnunua yule kinda wa A- Madrid.
 
What a Christmas and New Year present from Roman Abramovich!! We're now debt-free.
 
afddcdfdeb1282d4552d1f62fd4949e8.jpg



Kichwa kinauma!

Premier League - Chelsea announce £44 million loss

"virtually all outstanding debt has been converted into equity and the company
is now effectively debt free". LOL
 
afddcdfdeb1282d4552d1f62fd4949e8.jpg




Kichwa kinauma!

Premier League - Chelsea announce £44 million loss

"virtually all outstanding debt has been converted into equity and the company
is now effectively debt free". LOL

Mzee, this is his money, mwanzo aliwapa chelsea kama loan with no profit, mwaka jana anaturn half into shares, sasa ameamua yote kuturn into shares. hii ndiyo faida ya kuwa na owner ambaye anazo.

Hizo zote ni pesa zake na chelsea ni mali yake. hakukuwa na deni chelsea bali ni financial statementes tu hizo kaka, yeye ndo mwenye mali yote na club pia ni yake.

Na January anamnunua Aguero at any price - ushanisoma?
 
Mzee, this is his money, mwanzo aliwapa chelsea kama loan with no profit, mwaka jana anaturn half into shares, sasa ameamua yote kuturn into shares. hii ndiyo faida ya kuwa na owner ambaye anazo.

Hizo zote ni pesa zake na chelsea ni mali yake. hakukuwa na deni chelsea bali ni financial statementes tu hizo kaka, yeye ndo mwenye mali yote na club pia ni yake.

Na January anamnunua Aguero at any price - ushanisoma?


Sijui kama post number 2352 ulisoma halafu ukaelewa 2353 inasema nini. Au ni ile 70% ya JK? LOL
 
SNS0174GX3_280_957823a.jpg





Acheni lote reckons Arsenal boss Arsene Wenger is the Harry Potter of the Premier League.
 
Sijui kama post number 2352 ulisoma halafu ukaelewa 2353 inasema nini. Au ni ile 70% ya JK? LOL

hivi wewe mbona unawashwa sana na mambo ya Chelsea??? ndio maana Jose Mourinho alisema hataki maswali ya kisoga kwa waandishi wa habari kule Italy now i know what kind of people he was reffering to
 
hivi wewe mbona unawashwa sana na mambo ya Chelsea??? ndio maana Jose Mourinho alisema hataki maswali ya kisoga kwa waandishi wa habari kule Italy now i know what kind of people he was reffering to


Kamwene? Unoge? Swela muya ... .. zafiro? Khe khe khe
 
Bandugu sasa mechi ya kesho vipi na hii unknown quantity? Watford wanacheza championship na kina Newcastle, Derby, Crystal palace, Cardiff, Reading et al. darajani! Naona Kigogo akisaidiwa na Mvina pamoja na fundi mitambo Peasant Masanilo watuletee updates ili to enjoy shamrashamra za 2010.

Vipi mlio Dar mumemuona Drog the Bar kwenye luninga/Live?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom