benzemah
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 1,504
- 3,034
Kamati ya Pamoja (Joint Committee) ya Bunge ya Mindombinu na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) inawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kuhusu Ushirikiano wa Kluchumi na Klamil kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023 /(Intergovemmental Agreement - IGA, between the United Republic of Tanzania and the Emirate of Dubai concerning Economic and Social Partnership for the Development and Improving Performance of Ports in Tanzania).
Mkutano wa kupokea na kusikiliza mani ya wadau (Public Hearing) utafanyika siku ya Jumanne tarehe 06, Juni saa 7:30 mchana katika Ukumbi wa Msekwa "D', Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.
Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu Azimio hilo kufika kuwasilisha mani yo kabla haujapelekwa katika hatua nyingine. na Vilevile Kamati itapokea maoni kwa njia ya Posta au Barua pepe kwa anuani
ifuatayo:-
Katibu wa Bunge, Ofisi ya Bunge,
10 Barbara ya Morogoro
S.L.P. 941.
40490 Tambukareli
Habari zaidi, soma:
Mkutano wa kupokea na kusikiliza mani ya wadau (Public Hearing) utafanyika siku ya Jumanne tarehe 06, Juni saa 7:30 mchana katika Ukumbi wa Msekwa "D', Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.
Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu Azimio hilo kufika kuwasilisha mani yo kabla haujapelekwa katika hatua nyingine. na Vilevile Kamati itapokea maoni kwa njia ya Posta au Barua pepe kwa anuani
ifuatayo:-
Katibu wa Bunge, Ofisi ya Bunge,
10 Barbara ya Morogoro
S.L.P. 941.
40490 Tambukareli
Habari zaidi, soma: