TANZIA Bernard Kamilius Membe afariki dunia
Jiulize kwa nini hawakumshtaki kipindi Magufuli yupo?Unafikiri Mahakama wanatoa haki kila hukumu?
Hawakumshtaki kipindi kile kwa kuwa Musiba alikuwa anatumiwa na Magufuli kutukana watu, so alikuwa anamkingia kifua. Hakuna hakimu wala jaji angeweza kuwagusa team Magufuli na Sukuma Gang.

Lakini kama mahakama imemuonea mbona mwenyewe hajakata rufaa badala yake alikuwa anatuma watu kumuombea msamaha kwa Membe? Why?
 
Apumzike kwa amani,kabla haijalipwa na musiba Mungu amemchukua

Amekufa bila kumsahemu Musiba huyu pita kuleeee

USSR
Akili nyingine bnana!!kwa akili yako unadhania na kesi ambayo tayari hukumu yake ipo tayari imekufa?hukumu iko pale pale tu labda familia yake waamue kuachana nayo!!
Kwa hiyo zambi aliyokuwa nayo ni hiyo tu ya membe??
 
View attachment 2618772

Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje kwenye Serikali ya awamu ya nne, Benard Membe amefariki Dunia. Taarifa za awali zinaeleza Membe alipata changamoto ya Kifua na kupelekwa Hospitali ya Kairuki alfajiri ya leo May 12, 2023 na baadaye kufariki.

Benard Membe alipata kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia jimbo la Mtama na alihitimisha safari hiyo mwaka 2015 na kujaribu kuwania tiketi ya kuwania nafasi ya Urais kupitia chama cha mapinduzi(CCM), tiketi ambayo alipewa hayati John Magufuli.

Mwaka 2018 aliandikwa na gazeti la Tanzanite akituhumiwa kuweka ajenda ya kutaka Rais Magufuli asipewe nafasi ya kuwania Urais 2020, ambapo alifungua kesi ya madai ya kuchafuliwa na kushinda kesi hiyo, alikazia hukumu iliyomtaka mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba alipe Tsh. bilioni 9 ndani ya siku 14.
I remember to comment 🤐
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom