jasusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Aldrich Ames: Jasusi wa CIA ambaye alikuwa double agent kwa USSR pia

    Aldrich Ames alikuwa afisa wa ngazi ya juu wa CIA nchini Marekani ambaye aligeuka kuwa jasusi wa Urusi (KGB) wakati wa Vita Baridi. Kuanzia mwaka 1985, Ames aliuza siri nzito za usalama wa Marekani kwa USSR ili kupata fedha za kufadhili maisha yake ya anasa. Alitoa majina ya majasusi wengi wa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Tunapoelekea March 17: Ili ushinde Vita za kisiasa itakupasa aidha uwe Mwanahistoria mzuri au jasusi bobevu

    Hamjambo wote! 1. Moja ya mambo yanayoweza kuwa yalimgharimu jpm ni kutokuwa mzuri kwenye Masuala ya historia na hapohapo hakuwa na ujuzi wowote wa mambo ya usalama. Yaani hakuwa mwanajeshi, polisi au mwanausalama mbobevu. 2. Kwenye siasa za dunia. Hasa ukiamua kufanya siasa ngumu, zakibabe...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Jasusi wenu Gwajima karudi kasi kwenye kazi yake ya utapeli

  4. F

    JamiiForums Tanzania Dhana kwamba jasusi lazima awe “mtu safi” ndiyo inaua ujasusi wa Afrika

    Nchi nyingi za Afrika zimejifunga kwenye dhana potofu kwamba ili mtu awe jasusi lazima awe na tabia njema, rekodi safi ya kisheria, asiwe na “makovu” ya maisha, na aonekane kama askari au mtumishi wa serikali wa mfano. Dhana hii si tu ya kizamani ni hatari kwa usalama wa taifa. Ujasusi si...
  5. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Jasusi Bichwa Komwe ?

    Huyu member kitambo sana sijamuona Jf alikuwa mcheshi na anatoa madini sana sasa sijui kimemkuta nini natamani kujua BICHWA KOMWE - secretarybird alikuwaga demu wake baada ya kumpora kutuka kwa Busu la Kenge Cc : Fake P
  6. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Dr Ashraf Marwan: Mkwe wa Rais wa Misri aliyegeuka kuwa Jasusi wa Mossad.

    Kama ungebahatika kutembelea jiji la Cairo hususani siku ya tarehe moja mwezi wa saba mwaka 2007, ungegundua ni siku na mwezi ambapo hali ya hewa ilikuwa ni joto kali sana kiasi kwamba muda wote ungekuwa unatokwa na jasho. Mitaa mingi ya mji wa cairo ikiwa ina msongamano ndivyo ilivyozidi...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Robert Smalls: Jasusi Aliyewaibia Wazungu Meli ya Kivita - SIMULIZI za kusisimua matukio ya kweli

    1. Maisha ya Utumwa na Baharini •Robert Smalls alizaliwa mwaka 1839 huko Beaufort, South Carolina, nchini Marekani akiwa mtumwa. Akiwa kijana, alipelekwa kufanya kazi kwenye bandari za Charleston. Huko, alijifunza kila kitu kuhusu meli—jinsi ya kuziongoza, ramani za majini, na jinsi jeshi la...
  8. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Utamu wa Asali ulivyomkamatisha Jasusi wa Israel kizembe

    Katika maisha ya hapa bongo, unaweza kutana tu na mtu labda tuseme ni mfanyakazi mwenzako, au ni mfanyabiashara au hata bodaboboda akiendelea kupiga mishe zake tu za kawaida na mambo yanaenda. Lakini mtu wa namna hii unaweza kukuta ni mwajiriwa anayefanya kazi kwenye idara ya kijasusi. Japo...
  9. October 2pm

    JamiiForums Tanzania Kwa hiyo Mwigulu kukutana na Kitima mkajadili muanze na kufungua kanisa la ufufuo? Mwamtega jasusi la mbinguni sio

    Heee! Mitego ya kanga hiyo imnase Simba mwachekesha walahi. Mmejadili ya kujadili mwaona la kuanza muanze na hilo. Nye Nye! So Gwajima mnatakaje. Nyingine dili atulize watu eeh. Mjue sio ishu ya gwajima. Polepole au Chadomo. Jambo la wananchi walahi. Na bado
  10. C

    JamiiForums Tanzania Kupatikana kwa Jasusi Yeriko Nyerere.

    Na ule mwanya wake basi sisi hoi. Tukutane 9/12/2025 tutamsalimia huyu na Mwijaku pale Kigamboni sisi wakazi wa Kigamboni.
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Yule Jasusi Aliyetoa Breaking News Tarehe 12 March Tukatangaziwa Tarehe 17 March, ametoa Breaking News Kule Jasusi TV

    Wanabodi Zamani JF ndio ilikuwa ya kwanza kwa ma Breaking News, lakini sasa...! Yule member wetu, Jasusi, Aliyetoa Breaking News ile siku ya Tarehe 12 March mwaka ule, Taifa tukatangaziwa Tarehe 17 March, Leo ametoa Breaking News nyingine Kule kwenye youtube channel yake ya Jasusi TV, sijui...
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hii Nchi hii asee kwahiyo Yeriko Nyerere naye ni jasusi?

    Akipata kura hata 3 tu basi hii Nchi Ina wajinga wengi kama uyoga. Au Ili uwe jasusi ni lazima uwe na vigezo Gani?
  13. D

    JamiiForums Tanzania Jasusi Mkuu na ukwasi wake wa ‘Dolari’ - ana biashara gani!?

    Kipindi fulani tuliskia dola zimeadimika, lakini watoto wa jasusi mkuu wanapiga nazo picha kama hela za nyanya. Wananzengo, hili jasusi kuu linamiliki biashara zipi na sisi tupate dolari.
  14. Subira the princess

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu ndio jasusi alietumwa kuingamiza ACT Wazalendo

    Wasalaam. CCM wanafanya mambo kisayansi zaidi na wanaangalia zaidi kesho kuliko leo. Baada ya kuona ACT watapunguza kura za mama hapo ktk uchaguzi mkuu walisuka mkakati kabambe kumshirikisha ZZK kwa kumtuma mamluki Luhanga Mpima kwenda ACT na kuwavuruga kama hivyo. Inasemekana baada ya mission...
  15. mwehu ndama

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa Siku kumi zimepita, Yuko wapi Gwajima jasusi la mbinguni?

    Katika mkutano wake wa mwisho , Askofu Gwajima jasusi la mbinguni aliahidi kutamka neno zito sana ndani ya Siku 10 ambazo zimefikia tamati Leo.Hii ni ikiwa makanisa ya ufufuo na uzima hayatofunguliwa.jambo amabalo bado halijatekelezwa. Lakini mpaka sasa bado Jasusi Yuko kimya na hajulikani...
  16. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Iran yamnyonga aliyekutwa na hatia ya kuwa jasusi wa Israel

    Iran imetekeleza Jumatano hukumu ya kifo kwa kumnyonga mtu mmoja aliyepatikana na hatia ya kufanya ujasusi na kutoa taarifa kwa Israel. Taarifa hizo ziliwezesha mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia aliyeuawa mwezi Juni wakati wa mashambulizi ya Israel dhidi ya Jamhuri hiyo ya Kiislamu. Hayo...
  17. Damaso

    JamiiForums Tanzania Meyer Lansky: Jasusi na Kamaria Mtata katika Njama za kumuua Fidel Castro

    Katika historia ya ujasusi wa kimataifa, kuna sura ambazo hazikuwahi kuvalia sare za kijeshi wala kuwa na vitambulisho rasmi, lakini walikuwa silaha kubwa katika operesheni za kificho. Mmoja wao ni Meyer Lansky, kamaria mmoja hatari na mfanyabiashara wa kamari haramu, mafia hatari, na kiungo...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Paulo wa Tarso jasusi la kiroma lililopewa misheni ya kubadili mwelekeo wa Ukristo na kuwa upagani

    Hamjambo! Kwa upande wangu, Paulo aka Sauli ninamchukulia kama mwandishi mashuhuri aliyepewa nafasi na Dola la Rumi Kwa Siri Ili kubadili uelekeo wa Ukristo na kuufanya uwe upagan. Paulo/Saul: kiasili ni Myahudi Raia; Warumi Elimu: Farisayo, elimu ya juu ya Dini ya kiyahudi. Paulo hakuwahi...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Hivi Jasusi la Mbinguni Gwajima alionekana kwenye video ya waumini wake waliosali barabarani?

    Aloooh Mwamba anajikubali sana, siku zote ukiwa unasimamia haki au ukweli na una vidhibitisho huwezi kuogopa ukiwa na Imani, achana na wale machawa wanaojificha kwenye dini kumbe hawana lolote.
  20. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Picha ya Siku: Jasusi la Mbinguni

    Ipe caption
Back
Top Bottom