buriani

  1. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania TANZIA Buriani Roziana, MOI itakukumbuka daima

    Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameungana na familia, ndugu na jamaa katika kumuaga aliyekuwa mtumishi wa taasisi hiyo, Bi. Roziana Philipo Mnzava, aliyefariki usiku wa Septemba 06, 2026 jijini Dar es Salaam wakati akipatiwa matibabu. Akizungumza wakati wa...
  2. E

    JamiiForums Tanzania TANZIA Buriani Carlyto Lassa: Sauti ya Dhahabu ya Rumba Iliyoishia Madhabahuni

    Tasnia ya muziki barani Afrika, hususan wapenzi wa Rumba ya Kongo na muziki wa Injili, imepata pigo kubwa kufuatia kifo cha nguli Charles Ndombasi Lassa, anayefahamika zaidi kama Carlyto Lassa. Mwimbaji huyu mwenye sauti nyororo kama asali, mtunzi, mpiga gitaa, na mchungaji, amefariki dunia...
  3. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Taazia: Buriani Mwajame bint Dossa Aziz

    Nukuu za Simanzi na Buriani Mohamed Said anaanza kwa kutoa taarifa ya kifo cha dada yake na kuelezea mazingira ya mazungumzo yao ya mwisho: "Nimefiwa na dada yangu Mwajame Dosa Azizi Wajabe ni mkubwa kwangu mimi naikumbuka kama jana siku nilimtembelea nyumbani kwake Kigamboni ilikuwa mwaka wa...
  4. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani na Kwaheri Jengo la Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika (1933 - 2026)

    https://youtu.be/sESA440hvSs?si=xyq6R_sINF0ApN8g
  5. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani dada yangu Bi. Sauda bint Juma Mwinyi

    https://youtu.be/xeP3D7nzHzc?si=l573EPhbJle5grrv
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Buriani Mwadhama Polycarp, Cardinal Pengo, Japo Pengo Lako Halitazibika, Tutakuenzi Kwa Kukuishi, Haswa Ule Upendo Wako wa Dhati na Moyo wa Kusamehe!

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.Jana tumempumzisha kwenye makao yake ya milele, katika makaburi ya Pugu, Mpendwa wetu, Mwadhama Polycarp, Cardinali Pengo, aliyekuwa Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp, Cardinal Pengo...
  7. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani Sheikh Ali bin Mussa Maarufu Sheikh Rocket (1928 - 2026)

    BURIANI SHEIKH ALI BIN MUSSA MAARUFU SHEIKH ROCKET Naamini hakuna Muislam aliyezaliwa Dar es Salaam au kuishi tu ambae hakupata kumfahamu Sheikh Rocket au kumuona angalau kwa mara moja. Mimi binafsi yangu nikimuona mara nyingi mitaani akipita amebeba bendera yake yenye maneno: ‘’Laillah...
  8. msuyaeric

    JamiiForums Tanzania Buriani mzee wetu Edwin Mtei: Chadema wajue kuwa kifo hakina mwenyewe

    Ndugu Godbless Lema kwa muda sasa amekuwa ni "specialist"wa kuwatabiria vifo viongozi wa Serikali na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi. Kibaya zaidi Vifo vikitokea Machema wanajifungia sehemu na "kuchoma" nyama. Wakati wa Kifo cha Hayati John Pombe Magufuli walifanya hivyo, wakati wa kifo cha...
  9. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Batilda Buriani aleta balaa Ngorongoro

    Ubishi mkubwa umezuka,Batilda Buriani anagombania ardhi na wanakijiji Ngorongoro. Kwa hiyo wananchi wamefanya mkutano,amefika mwakilishi kutoka ofisi ya DC. Yule afisa anawaambia,ok tuanze mkutano, lakini kabla hatujaanza mkutano lazima tujue kama akidi imetimia. Kwa hiyo kila mtu aandike jina...
  10. kavulata

    JamiiForums Tanzania Buriani Mzee Msuya, ulipenda kwenu kuliko kwetu

    Tukiwa watoto tulipokuwa tukijisomea kwa kukoka moto wa Kuni na vibatali kupata mwanga tulikuwa tunaambiwa huko mwanga na usangi kwao Cleopa Msuya umeme umesambazwa hadi migombani, kwenye mikahawa na unawaka hadi kwenye mazizi ya nguruwe . Kwakuwa sisi tulikuwa hatujafika huko Mwanga tulikuwa...
  11. C

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dr Ruthbetha Kateule (PhD) afariki dunia

    Kinda katika sayansi na mifumo ya kompyuta nchini Dr Ruthbetha Kateule (PhD) hatunae. Kwa umri huo wa Miaka 38 (1987-2025) na PhD kaipata majuzi. Naamini mirathi haitaleta shida labda vyeti kibao. #KataaPhD#
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani Mwanetu Awadh Mohamed Awadh

    BURIANI MWANETU AWADH MOHAMED AWADH Awadh Mohamed Awadh (Chico) alikuwa kafanana sana na baba yake. Mimi sikupata kumwita kwa jina lake la Awadh kwangu alikuwa Chico sijui kwa nini. Labda kwa kule kurandana sana na baba yake. Wazazi hatupendi kuzika wana. Hatupendi kwa kuwa ni jambo zito na...
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania BURIANI Sultan Jamshid BIN Abdulla BIN Khalifa (1926 - 2024)

    (1929 - 2024) Hiyo taazia hapo chini niliandika majuma machache yaliyopita nilipopokea taarifa kuwa Sultan Jamshid kafariki. Haukupita muda nikapokea taarifa kuwa si kweli yu hai. Nilijisikia vibaya sana. Ninachokumbuka ni kupokea ujumbe kutoka kwa rafiki yangu akiniambia nilifanya haraka...
  14. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Buriani Dkt. Ndugulile - Barua toka CANADA

    Wananzengo nimeona mtandaoni barua toka Canada, Mtanzania akimlilia Dr Ndugulile: FROM OTAWA...........................Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini ? Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu...
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani Salim "Sammy Davis" Hariz

    BURIANI SALIM ‘’SAMMY DAVIS’’ HARIZ Niko njiani naelekea Tanga. Safari nimeanza alfajir sana. Nasinzia baada ya kupita Wami. Naizima simu yangu kuhifadhi ‘’charge.’’ NIlipofika Tanga ndipo nikaifungua na kuona msururu wa ‘’mis calls.’’ Msg zinaingia moja baada ya nyingine na ndipo nilipoona...
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania TANZIA Buriani Dr. Gilbert Sanga a.k.a Gill Biz

    Tutakukumbuka milele milele yote, hakikanulikuwa mtu mwema na mwalimumwema. Daima ulituonya, kutukanya na kutuasa. JamiiForums watakukumbuka kwa ucheshi na vibweka vyako. Uliniasa nisi disclose ID yako na iendelee kubaki kificho. Hi-Lo tumelitenda kwa nguvu ya Mungu atupaye Leo na kesho...
  17. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania TANZIA Buriani Mohammed Rafiq, mmoja wa Waasisi wa timu ya Saigon, Kariakoo

    KOKNI MUSLIM JAMAAT of DAR ES SALAAM, TANZANIA DEATH ANNOUNCEMENT ‎إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعون "Surely we belong to Allah and to Him shall we return". It is with sadness that we share the news of the demise of MR MOHAMEDRAFIQ ZAHIR FAKI who passed away in Dar Es Salaam on 9th...
  18. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani Mzungumzaji Wangu Abuu Shariff

    BURIANI MZUNGUMZAJI WANGU ABUU SHARIFF Taarifa ya msiba wa Abuu (na hivi ndivyo alivyokuwa akifahamika Dar-es-Salaam) nimeipata kutoka Tanga kwa shariff mwenzake, Shariff Mohamed Yahya. Wote walipata kucheza Young African kisha Cosmopolitan. Mohamed Yahya akiwa mlinda mlango na Abuu mlinzi...
  19. Ivan Stepanov

    JamiiForums Tanzania Utata wa imani - jirani yangu kaponea tundu la sindano. Ilikua ni kwaheri buriani

    Huyu bwana ni kama tulikua tumeshampoteza, lilikua ni suala la kuhesabu siku tu maana hata mkewe alikua kamkatia tamaa. Wakuu mambo haya yasikieni nyie akina min -me , hiv watu mnapata wapi ujasiri wa kusema hakuna uchawi?? Kwakwel kila nikitafakari sipati jibu kwamba hivi ni mahubiri gani...
  20. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Buriani Hamisi "Super VC 10" Kibunzi

    BURIANI HAMISI "SUPER VC 10" KIBUNZI Kila nilipokutana na Hamisi Kibunzi tutazungumza mengi kuhusu mpira wa miaka iliyopita wakati Sunderland walipompa jina la "Super VC 10." Hii ilikuwa aina ya ndege ambazo East African Airways ikitumia kwa safari za masafa marefu: Dar/Nairobi/Addis/London...
Back
Top Bottom