ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,107
- 49,809
Kunyaland njooni mjifunze Tanzania Teknolojia ya Kisasa
Hahahaha.....bro technology si siasa, huku tunahudhuria symposium na workshop kibao tu ambazo zinahusisha watu mbalimbali, ukweli tunaujua.....natamani tushtuke tufanyie kazi alichosema Tuusan, ni aibu kwa kampuni ya NALA kuwa na makao makuu Nairobi na customer base kubwa ya wa Kenya, pia takwimu nyingi za technology zinatuhukumu, YES ni kweli kuwa kuna individuals wachache wanafanya vitu wonderful sana.....LAKINI kwa ujumla hatuko vizuriSio kweli, Tanzania iko mbele kwny Tech mbele ya nchi nyingi tu zikiwemo ulizozitaja,moja ya changamoto kubwa kwetu sisi, wasomi wetu hawaandiki research papers,article pamoja na journals na kuzi-publish duniani kwenye upande wa ICT na pia vyombo vya habari vyetu wamekuwa wazito sana kuueleza umma juu ya maswala yahusuyo ICT Tanzania, kwa kifupi tumeshindwa kujipambanua potential tuliyonayo dunia ikatutambua.
Songoro anatenda ya kivuko kimoja kipo kwenye katakana yake kigamboni paleCha ajabu MV Magogoni inafanyiwa ukarabati na Tender wamepewa Wakenya. Serikali hii sijui ina vipaumbele gani. Imewanyima tender Songoro marine kampuni iliojenga vivuko vingi tu nchini.
Kati ya maajabu ya dunia ni kuona mtu anasifia maghorofa ya mjini wakati analala kwenye congested tin houses au Supermarkets ambazo hawezi kwenda kununua hata Big G alafu anakuja mbele ya wanaume wenzake na kutamba eti kwao wameendelea sana, ni maajabu na ndio maana kuna watu wanalipa toka huko ng’ambo kuja kushangaa binadamu wenye akili za namna hii😂😂😂Kuna reason huwa mnaitwa mabongolala
Kampuni gani hiyo tena, naona niko nyuma kwenye hilina yote inaenda kampuni ya uchimbaji makaa ya mawe ya ccm!
Unasema nini hata huelewekiKati ya maajabu ya dunia ni kuona mtu anasifia maghorofa ya mjini wakati analala kwenye congested tin houses au Supermarkets ambazo hawezi kwenda kununua hata Big G alafu anakuja mbele ya wanaume wenzake na kutamba eti kwao wameendelea sana, ni maajabu na ndio maana kuna watu wanalipa toka huko ng’ambo kuja kushangaa binadamu wenye akili za namna hii
Halafu ghorofa lote hilo dirisha lipo moja tu? Huu ujenzi wa aina gani?