Halafu ghorofa lote hilo dirisha lipo moja tu? Huu ujenzi wa aina gani?







Still under construction na watu wanacheza mpira na kuutumia 🤣🤣🤣🤣🤣 hii ndio uchafu munawajengea wakenyaBukhungu Stadium in KAKAMEGA still under construction
View attachment 2522519
View attachment 2522520
Hebu ww tu kwa macho yako tazama huu ujenzi alaf utaniambia magorofa yataacha kuanguka kila siku ??? Kwann maisha ya mkenya hayana thamani alaf unashangilia kabisa upuuzi 🤣🤣🤣In Nairobi construction is literally everywhere. I wonder how this city will look like three years from now.
View attachment 2522530View attachment 2522535
Siku ukinielewa ntaanza kujiuliza nimekosea wapi?🤔😅Unasema nini hata hueleweki
Hebu ww tu kwa macho yako tazama huu ujenzi alaf utaniambia magorofa yataacha kuanguka kila siku ??? Kwann maisha ya mkenya hayana thamani alaf unashangilia kabisa upuuziView attachment 2522561

Mkenya anaeza ishi hata kwenye go down yani maisha ya mkenya hayana thamani kabisa, ikiwa anaeza ishi maisha ambayo nguruwe hawez ishi kweli atashindwa kuishi kwenye godown 🤣🤣🤣Hili ni Godown au nyumba ya kuishi, huku madirisha huwa hawaweki?![]()
Sijawahi kuona wachawi, ila stories zote ninazosoma kuwahusu ni kwamba huwa hawapendi mwanga, ni wachafu na wanachuki mbaya sana, na ukiwafanyia jema ndio umewapa sababu ya kukuroga. Kwahiyo usishangae kwanini hakuna madirisha kwenye jengo😂😂😂Hili ni Godown au nyumba ya kuishi, huku madirisha huwa hawaweki?![]()