Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati Kenya wanaendelea kuhangaika na supermarkets economy sisi tunajenga vitu vyenye tricle down effects ya maana kabisa. Kweli maendeleo ni perseption. Kwa namna fulani naona manufaa ya ujamaa. Tunafikiria tofauti mno.
Kuna reason huwa mnaitwa mabongolala
 
1676724782475.jpeg
 
Tone 65,000 kila tone inauzwa $40.
Jumla ni $2,600,000.
Hiyo poland pekee.
Ruvuma Coal wanazalisha 100,000 kwa mwezi.
Wengine kwa ujumla wao wanazalisha 180,000 kwa mwezi. Jumla uzalishaji wa coal kwa mwezi ni wastani wa tone 280,000.
Chukua 280,000 x $40
Kila mwezi upande wa coal tunaingiza $11,200,000.
Kenya, Malawi, DRC, Uganda, Rwanda, Burundi wote wanategemea hayo makaa ya mawe!
 
Nilistuka sana niliposikia eti kuna raia wamelalamika zile apartments pale Magomeni kwa 48mil for 2 bedroom appartments ni ghali, nilistuka sana kwa kweli kwenye centre kama hiyo where you can navigate anywhere in the city kama unamsukuma mlevi and yet you got everything around you, tena nyumba umekuwa guaranteed kuinunua as ulikuwa tenant wa muda mrefu, hili deko wabongo litatupeleka pabaya.
Walitaka wapewe bure kwakua niwazee hawana uwezo...ukisililiza hoja zao unaweza shangaa sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Tanzania kwenye mambo ya ICT tuko nyuma sana?tunazidiwa hadi na waganda?
App ya Nala ina ofisi Nairobi, na wateja wake wengi ni wakenya...Guys tuache midomo tushughulikie izo fursa, hatuna technology kwasababu zipi?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sio kweli, Tanzania iko mbele kwny Tech mbele ya nchi nyingi tu zikiwemo ulizozitaja,moja ya changamoto kubwa kwetu sisi, wasomi wetu hawaandiki research papers,article pamoja na journals na kuzi-publish duniani kwenye upande wa ICT na pia vyombo vya habari vyetu wamekuwa wazito sana kuueleza umma juu ya maswala yahusuyo ICT Tanzania, kwa kifupi tumeshindwa kujipambanua potential tuliyonayo dunia ikatutambua.
 
Nilistuka sana niliposikia eti kuna raia wamelalamika zile apartments pale Magomeni kwa 48mil for 2 bedroom appartments ni ghali, nilistuka sana kwa kweli kwenye centre kama hiyo where you can navigate anywhere in the city kama unamsukuma mlevi and yet you got everything around you, tena nyumba umekuwa guaranteed kuinunua as ulikuwa tenant wa muda mrefu, hili deko wabongo litatupeleka pabaya.

Panafaa sana Mkuu hapa na nimeona vibarabara vinavyoningia ndani vinajengwa. Hapa Mama samia na zile za TBA zilimalizika patakua patamu sana.

Hapa Magomeni Baada ya Jangwani, Mapipa, hadi Kagera pale pamekua eneno lingine zuri sana.


IMG_5413.jpg

IMG_5412.jpg

IMG_5411.jpg

IMG_5410.jpg

IMG_5414.jpg
 
Sio kweli, Tanzania iko mbele kwny Tech mbele ya nchi nyingi tu zikiwemo ulizozitaja,moja ya changamoto kubwa kwetu sisi, wasomi wetu hawaandiki research papers,article pamoja na journals na kuzi-publish duniani kwenye upande wa ICT na pia vyombo vya habari vyetu wamekuwa wazito sana kuueleza umma juu ya maswala yahusuyo ICT Tanzania, kwa kifupi tumeshindwa kujipambanua potential tuliyonayo dunia ikatutambua.
Mfano mdogo ni fiber optics hakuna nchi inayotugusa East na Central, plan iliyopo sasa ni kuiwekea back up hata technical fault ikitokea ngoma inaswitch upande wa pili kama hakijatokea kitu
Hata hiyo inshu ya setelaiti ya Musk kati ya vitu tunavyodemand ni kufanya building capacity kwa watu wetu hao wenzetu waseme ni zao ila asilimia mia mbili ya wataalamu wana-oparate ni wageni upuuzi huo si hatutaki.
Tanzania iko mbali sana kwenye kubuni app zilizoleta mapunduzi makubwa kwny jamii kuna baadhi tumezishinda hata nchi zilizo nje ya mipaka ya Afrika, unaweza kuta wao wako kwny ngazi ya wilaya sisi tuko kwny ngazi ya mwananchi.
 
Mfano mdogo ni fiber optics hakuna nchi inayotugusa East na Central, plan iliyopo sasa ni kuiwekea back up hata technical fault ikitokea ngoma inaswitch upande wa pili kama hakijatokea kitu
Hata hiyo inshu ya setelaiti ya Musk kati ya vitu tunavyodemand ni kufanya building capacity kwa watu wetu hao wenzetu waseme ni zao ila asilimia mia mbili ya wataalamu wana-oparate ni wageni upuuzi huo si hatutaki.
Tanzania iko mbali sana kwenye kubuni app zilizoleta mapunduzi makubwa kwny jamii kuna baadhi tumezishinda hata nchi zilizo nje ya mipaka ya Afrika, unaweza kuta wao wako kwny ngazi ya wilaya sisi tuko kwny ngazi ya mwananchi.
Ukihudhuria makongamano makubwa hili unaliona kwa uwazi kbs.
 
Sio kweli, Tanzania iko mbele kwny Tech mbele ya nchi nyingi tu zikiwemo ulizozitaja,moja ya changamoto kubwa kwetu sisi, wasomi wetu hawaandiki research papers,article pamoja na journals na kuzi-publish duniani kwenye upande wa ICT na pia vyombo vya habari vyetu wamekuwa wazito sana kuueleza umma juu ya maswala yahusuyo ICT Tanzania, kwa kifupi tumeshindwa kujipambanua potential tuliyonayo dunia ikatutambua.
Kwahyo jibu umeshalipata sasa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom