7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
na nipe ushahidi kua yetu aiwez beba double
we ndo unafaa unipe ushahidi kua yenu iaweza beba double stackna nipe ushahidi kua yetu aiwez beba double
SIO JIJI KUU NI JIJI LA KUKU ELEWA WEWE BATA
kuku nini ww vyombo vyenu viemeacha mambo ya msingi na kufatlia mambo ya wasanii wetuNi wewe unafuatilia Kenya's National Broadcaster sana.
nkupe ushahidi gani we ndio unipe kua yetu sio.. au uoni we ndio wadaiwe ndo unafaa unipe ushahidi kua yenu iaweza beba double stack
Ngoja wazee wa remitansi waje hapa wakupopoe.Gerrit,not remitansi![]()
Mkenya anaeza ishi hata kwenye go down yani maisha ya mkenya hayana thamani kabisa, ikiwa anaeza ishi maisha ambayo nguruwe hawez ishi kweli atashindwa kuishi kwenye godown![]()













Sijawahi kuona wachawi, ila stories zote ninazosoma kuwahusu ni kwamba huwa hawapendi mwanga, ni wachafu na wanachuki mbaya sana, na ukiwafanyia jema ndio umewapa sababu ya kukuroga. Kwahiyo usishangae kwanini hakuna madirisha kwenye jengo![]()















Mkuu umetunyima picha ya ile DMDP Park, si kuna hawa jamaa wanasema kila siku eti Dar hakuna Parks wakati wao mji mzima wanaenda kukaa sehemu moja.

Tunaendelea
Na sisi tunayo yetu.