Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu umetunyima picha ya ile DMDP Park, si kuna hawa jamaa wanasema kila siku eti Dar hakuna Parks wakati wao mji mzima wanaenda kukaa sehemu moja.
Panafaa sana Mkuu hapa na nimeona vibarabara vinavyoningia ndani vinajengwa. Hapa Mama samia na zile za TBA zilimalizika patakua patamu sana.

Hapa Magomeni Baada ya Jangwani, Mapipa, hadi Kagera pale pamekua eneno lingine zuri sana.


View attachment 2521696
View attachment 2521697
View attachment 2521698
View attachment 2521699
View attachment 2521700
 
Dom

20230219_094930.jpg
 
Hata 70mil bado sio mbaya, Rais aliamua tu kupiga siasa, no wonder mashirika yetu hayaendelei na yanakufa namna hii alafu tunajikuta kwenye mtanziko ule ule wa kukosa makazi mazuri. Hivi mtu anaweza kununua nyumba Magomeni kwa 70mil sasa hivi? Tena hapa naongelea zile nyumba za miaka ya uhuru, sio hizi appartments zenye kila aina ya
Social amnesties.
Kama hawatakubaliana na hiyo bei wajengewe nyumba za bei rahisi sehemu nyingine halafu hizo wapewe wenye kuzimudu. Gharama inakuwa juu kwasababu thamani ya kiwanja ni kubwa.

Sehemu ambayo unaweza kwenda kwa miguu Kariakoo na Posta kwa Dar haiwezi kuwa sawa na maeneo ya pembezoni mwa jiji.
 
Back
Top Bottom