Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mna utoto na inferiority complex. You people need to grow up. Nafurahi dunia imeanza kuwajua. Kitambo unafiki wenu ulijificha kwa Kiswahili lakini tangu muanze kujikakamua na Kiingereza mmeanza kutambuliwa tu.
Nani kakukataza ku post Mount Kenya? 😀 😀 😀

Mount Kenya Sasa (Kichuguu Kenya)

1714378187141.png


1714378217914.png
 
Hata lile lipipa nalo ni kama mtumba tu sababu toka wapewe uhuru na Muingereza wakanyimwa ardhi bado wanalitumia, kama unalifuatilia wakati linatake off huwa linaenda upande

Mkoloni nae alidonate, sasa hatujui yeye alilitumia for how long
View attachment 2976117
Aisee Kenya ni Mavi, yani hili dege la mkoloni wanalitumia mpaka leo?
 

View: https://x.com/MsigwaGerson/status/1783510138688548889
Kagusia issue ya kutoa running tracks kwenye UHURU STADIUM ambayo nilikuwa naisema watu wakaniona mimi mjuaji, a soccer stadium does not need running tracks hata MKAPA ikiwezekana waitoe tu uwe full soccer stadium runniing trucks zibaki ARUSHA , plus kaongelea kujenga Dodoma stadium

Safi sana kaka, asante kwa hii video, ni kweli hayo ma running track hatuyataki mana hii nchi sio ya riadha kama kenya, hii nchi ni ya soccer, ma running track yabaki Arusha ila Dar tunataka football stadiums, period.
 
wewe mpumbavu wa wapi ikija michezo mingine kama ya riadha itafanyika wapi sasa?
Wacha upuuzi tuna viwanja vingi nchi hii vya CCM na vyote vina running track, ifike mahali tukubaliane kwamba sio lazima kila kiwanja kiwekwe running track, hiyo running track ni kwa ajili ya riadha na sisi watanzania hatuna hobbie na riadha, wacha watoe hayo ma running track kama hupendi jenga uwanja wako weka ma running track, just simple like that.
 
Ndio maana tunawaambia hizi beef zenu na hasira zimetokana na inferiority complex na utoto. Kelis mwenyewe ashawai kuja Tanzania anajua mlima upo Tanzania. Hapo amesema tu anaupna Kilimanjaro ndio nyinyi Watanzania mmeanza kelele zenu. Ndio maana Kila siku mnasema tunawaibia vitu.😂😂
Hope keshajua tofauti ya Tanzania na Kenya, hakuna mtalii anarudi Kenya baada ya kufika Tanzania, no wonder tunawazidi tourist receipts tena kwa mbali sana.
 
Back
Top Bottom