Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante tanzania eti wko busy kushindana na tanzania 😂😂😂

Sasa ni wapi duniani unakuta pilau buku, kuna wakenya walisema kilimo ni ushamba na ni in kazi ya kijima, wakasema sisi tulime wao watakuwa wanakuja kununua tu, matokeo yake imepelekea mpaka serikali kukopa mikopo WB ili kugharamia upungufu wa chakula, tofauti na Tanzania ambapo chakula tunajitosheleza kwa zaidi ya 100% hata kikipanda faida ni kwa Tanzania.

Kingine zaidi ya ugali kunyaland hawana chakula kingine chochote wakati Tanzania tuna zaidi ya 5 staples foods

 
Hii Battle imefungua watu macho ni nani anafanya miradi yenye tija. Wakati wengine wakipanga na kufanya miradi ya kimkakati taratibu taratibu, wengine wako busy wakifanya miradi ya kukurupuka kwa ajili ya kujionesha. Mwisho wake ndio huu, watu wanakimbia uzi kabla hata hatujamaliza😅😅
 
Sasa ni wapi duniani unakuta pilau buku, kuna wakenya walisema kilimo ni ushamba na ni in kazi ya kijima, wakasema sisi tulime wao watakuwa wanakuja kununua tu, matokeo yake imepelekea mpaka serikali kukopa mikopo WB ili kugharamia upungufu wa chakula, tofauti na Tanzania ambapo chakula tunajitosheleza kwa zaidi ya 100% hata kikipanda faida ni kwa Tanzania.

Kingine zaidi ya ugali kunyaland hawana chakula kingine chochote wakati Tanzania tuna zaidi ya 5 staples foods

Hili suala la kudhibiti mfumuko wa bei japo vitu vimepanda especially vifaa vya ujenzi, na nafaka kama mchele na maharage credit ziende kwa Serikali Kwakweli,Ila humu Jamvini watu wako kimya sana Ni unafiki tu kwa kwenda mbele
 
Fellow Kenyans
As you can see,tumechoka kuargue na hizi nongwe. Wacha kila mtu ajipe form
 

Attachments

  • IMG_0943.jpg
    IMG_0943.jpg
    421.6 KB · Views: 3
Hii Battle imefungua watu macho ni nani anafanya miradi yenye tija. Wakati wengine wakipanga na kufanya miradi ya kimkakati taratibu taratibu, wengine wako busy wakifanya miradi ya kukurupuka kwa ajili ya kujionesha. Mwisho wake ndio huu, watu wanakimbia uzi kabla hata hatujamaliza
Tuliwaambia
 
Yaani port pia ni unplanned settlement!!!!
Poooor
Hapo ni sehemu majahazi na meli local za mizigo kwenda Zanzibar,Comoro na Mauritus zinatia nanga.

Pako local maana pia operations zake zipo locally.stretches ya bandari inaanzia Hapo RoRo. Ukina hivyo ndio ujue biashara imekubali. Kuna muda panakuwa safi kabisa.

Kwa Ukubwa wa bandari na mpiga picha alikuwa jengo lenye mitaa zaidi ya 100 bado hakufanikiwa kupata footage za container terminal.

KENPAULITE
 
Among Projects Muhumu Kwa Tz ni Hizi..ukiweza kuwa na resreve kubwa ya Chakula , Mafuta ya Petrol, Dizel , Na Energy kiujumla..unaweza sana kupambna na infalation na vitu kama famine..vikitokea..

My suggestion is tufike hata 1 miilion tonnes by 2025 ya capacity ya food reserves ..

Na uwezo wa ku store mafuta uwe wa 6 months and above from 2 months sasa hivi
 
Back
Top Bottom