Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lodwar, Turkana
FB_IMG_16664170650191850.jpeg
 
Asante tanzania eti wko busy kushindana na tanzania 😂😂😂

Sasa ni wapi duniani unakuta pilau buku, kuna wakenya walisema kilimo ni ushamba na ni in kazi ya kijima, wakasema sisi tulime wao watakuwa wanakuja kununua tu, matokeo yake imepelekea mpaka serikali kukopa mikopo WB ili kugharamia upungufu wa chakula, tofauti na Tanzania ambapo chakula tunajitosheleza kwa zaidi ya 100% hata kikipanda faida ni kwa Tanzania.

Kingine zaidi ya ugali kunyaland hawana chakula kingine chochote wakati Tanzania tuna zaidi ya 5 staples foods

 
Hii Battle imefungua watu macho ni nani anafanya miradi yenye tija. Wakati wengine wakipanga na kufanya miradi ya kimkakati taratibu taratibu, wengine wako busy wakifanya miradi ya kukurupuka kwa ajili ya kujionesha. Mwisho wake ndio huu, watu wanakimbia uzi kabla hata hatujamaliza😅😅
 
Sasa ni wapi duniani unakuta pilau buku, kuna wakenya walisema kilimo ni ushamba na ni in kazi ya kijima, wakasema sisi tulime wao watakuwa wanakuja kununua tu, matokeo yake imepelekea mpaka serikali kukopa mikopo WB ili kugharamia upungufu wa chakula, tofauti na Tanzania ambapo chakula tunajitosheleza kwa zaidi ya 100% hata kikipanda faida ni kwa Tanzania.

Kingine zaidi ya ugali kunyaland hawana chakula kingine chochote wakati Tanzania tuna zaidi ya 5 staples foods

Hili suala la kudhibiti mfumuko wa bei japo vitu vimepanda especially vifaa vya ujenzi, na nafaka kama mchele na maharage credit ziende kwa Serikali Kwakweli,Ila humu Jamvini watu wako kimya sana Ni unafiki tu kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom