Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dah social media zinatangaza sana Utalii wetu, wapo watasema royal tour, mara government efforts and stuff lakini kwa research yangu ndogo niliofanya kwenye social media utalii wa Tanzania umekua sana kutokana na clip kama hizi




View: https://twitter.com/AMAZlNGNATURE/status/1784561396316864761?t=Qv1p981N41SJAUqkD0iC8A&s=19

Ndani ya saa 15 tu Ngorongoro imejulikana kwa watu zaidi ya million 11 duniani, promo kubwa sana, katika idadi hii kuna million kadhaa ndio wameijua Tanzania for the first time, kuna million kadhaa wanaweza kuja Tanzania, kuna million kadhaa watafikiria kuja Tanzania

Wakundustan saivi hawapati watalii sababu hakuna mtalii utamdanganya kama zamani kipindi hakuna social media kwamba Kilimanjaro ipo Kenya, saivi linapotamkwa suala la safari ni Tanzania imetamkwa Kunyaland imejifia natural death
Screenshot_20240429-071117.jpg
 

View: https://x.com/MsigwaGerson/status/1783510138688548889
Kagusia issue ya kutoa running tracks kwenye UHURU STADIUM ambayo nilikuwa naisema watu wakaniona mimi mjuaji, a soccer stadium does not need running tracks hata MKAPA ikiwezekana waitoe tu uwe full soccer stadium runniing trucks zibaki ARUSHA , plus kaongelea kujenga Dodoma stadium

wewe mpumbavu wa wapi ikija michezo mingine kama ya riadha itafanyika wapi sasa?
 
Back
Top Bottom