The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sure, ana maamuzi.Huyu ndio inatakiwa twende nae 2025. Samia apumzike tu!
Sure, ana maamuzi.Huyu ndio inatakiwa twende nae 2025. Samia apumzike tu!
A very powerful Surface-to-Air Missile, capable of bringing down nearly any stealth multirole fighter Jet.just like russian artillery, it's 'Bull's Eye' accuracy falls within a whole 100×100M ie. a Football Pitch! 🤣🤣
Flying house
Nyang'au mmeona mambo hayo!!!!
Mawazo yake ni kutukana watu? Kuna sababu gani ya kutukana kiongozi ??😂 au na nyinyi ndio wale wale haki za binaadamu alaf kesho munashangilia wanaume kua mashoga kujazana mitaaniDanganyika chini ya CCM hakuna freedom ya kusema mawazo yako.
You cannot express yourself freely in Danganyika bila kukamatwa na kuwekwa ndani na CCM. Failed state. View attachment 2394850
Anaiweka sawa kwanza nafkiri hazinaHazina sehem ya kuweka plate no? Mbona anabandika na cello tape
We umbwaaaaaa unataka Njombe ipewe kila kituNimekwambia niletee mahakama kwenye Mikoa niliyotaja wewe unaleta stand na majengo ya utawala ambayo yanajengwa kila mwaka na Serikali,hata sasa majengo mapya kibao yanajengwa zikiwemo stand..
Niletee mahakama kama zile uluzosema ziko.kila Mkoa ,mimi nataka Uniletee Njombe ,Songwe na Rukwa tuu..
Mwisho uachage ujinga basi,Hii ni Agreement Hotel sio Ofisi ya Nssf Njombe 👇
Jaman huyu jamaaa😅😅Unajisahau wewe 👇View attachment 2393288🤣🤣🤣🤣 The Sunk Cost Fallacy. A.k.a kivelevele
Operational wise ziko level moja,hata infrastructure ziko sawa. Changamoto ndogo ndogo zipo maana Kwa Dar Kuna machines nyingi ila Kuna katatizo kidogo on human capital.Uko sure dar port ni kubwa kushinda mombasa infrastructure wise?
Nani kakwambia hapo kuna vumbi we mbwa.?Vumbi tupu. 🚮 🚮
Wanapenda kutuiga kwa kila kitu, ila safi mambo mazuri huigwa.
We sukuma gang Mbwa ni mama yakoWe umbwaaaaaa unataka Njombe ipewe kila kitu
Kigoma na Tabora wana matatizo gan kuhusiana na miundombinu ya umeme? Au ndo hawapend maendeleo mpk inafika wengine wanarogana 😀