Sijui lolote kuhusu bandar, lkn kwenye modernization na usimikaj wa mitambo ya kisasa naona bado sana.. au hapo ndo wanaweka vitu vipya?
Naona vitu vimekaa ovyoovyo tu.. kama vile 5S haipo kabsa.
At least hio RORO wameipanga vizur na inapendeza
Huko kwa watu, mpangilio tu unavutia
Container port
Roro

