Asante tanzania eti wko busy kushindana na tanzania 😂😂😂
TuliwaambiaHii Battle imefungua watu macho ni nani anafanya miradi yenye tija. Wakati wengine wakipanga na kufanya miradi ya kimkakati taratibu taratibu, wengine wako busy wakifanya miradi ya kukurupuka kwa ajili ya kujionesha. Mwisho wake ndio huu, watu wanakimbia uzi kabla hata hatujamaliza![]()










KapanickFellow Kenyans
As you can see,tumechoka kuargue na hizi nongwe. Wacha kila mtu ajipe form











Kwasasa tumeacha kutengeneza barabara za kishamba kama hizi, roads nyingi mfano huu huku Tz zina taa.Fellow Kenyans
As you can see,tumechoka kuargue na hizi nongwe. Wacha kila mtu ajipe form
Huyu tukimpa nchi atawawajibisha sn wazembe, ofcz akichukua huyu nchi ile kasi ya JPM atleast itarejea, ni mwanafunzi mtiifu wa Magu huyu.
Ww unareason kama kuku tu,Mjinga weweAll develop countries hapo inflation iko juu, so mnataka kusema mko more develop than then?
Watu wanataka katiba mpya kila mtu awajibishwe Ye akifanya ujinga anamuwajibisha? Na hawataki kuibadili kabisaHuyu tukimpa nchi atawawajibisha sn wazembe, ofcz akichukua huyu nchi ile kasi ya JPM atleast itarejea, ni mwanafunzi mtiifu wa Magu huyu.
Hapo ni SonduFellow Kenyans
As you can see,tumechoka kuargue na hizi nongwe. Wacha kila mtu ajipe form
Hapo ni sehemu majahazi na meli local za mizigo kwenda Zanzibar,Comoro na Mauritus zinatia nanga.Yaani port pia ni unplanned settlement!!!!
Poooor
Among Projects Muhumu Kwa Tz ni Hizi..ukiweza kuwa na resreve kubwa ya Chakula , Mafuta ya Petrol, Dizel , Na Energy kiujumla..unaweza sana kupambna na infalation na vitu kama famine..vikitokea..



Uko sure dar port ni kubwa kushinda mombasa infrastructure wise?Hapo ni sehemu majahazi na meli local za mizigo kwenda Zanzibar,Comoro na Mauritus zinatia nanga.
Pako local maana pia operations zake zipo locally.stretches ya bandari inaanzia Hapo RoRo. Ukina hivyo ndio ujue biashara imekubali. Kuna muda panakuwa safi kabisa.
Kwa Ukubwa wa bandari na mpiga picha alikuwa jengo lenye mitaa zaidi ya 100 bado hakufanikiwa kupata footage za container terminal.
KENPAULITE
Huyu ndio inatakiwa twende nae 2025. Samia apumzike tu!Huyu tukimpa nchi atawawajibisha sn wazembe, ofcz akichukua huyu nchi ile kasi ya JPM atleast itarejea, ni mwanafunzi mtiifu wa Magu huyu.