Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Bwa hahahahahaha haaaa
2811930_images_-_2021-06-18T104843.945.jpeg
 
Kuna baadhi ya Wakenya wanapatwa na wivu sana na uchungu mkali mno tunavyoshusha vitu classic!!!Mi nikajua kwa sababu GDP yao kubwa na wenyewe wata-adopt kushusha vitu classic mwisho wa siku wameendelea kujenga vitu vya ajabu ajabu tu mfano ni BRT,wananunua mitumba ule mtumba kutoka Spain, Bado wanaweka rehani nchi kwa Mchina,wamekuwa wakopaji wakubwa kila uchao sasa mimi najiuliza hivi hiyo GDP yenu kubwa pesa yake ina-reflect wapi!!! Huduma za kijamii hovyo kbs!!!!
 
Air bridge is not an issue, in 2008 when that airplane landed in JNIA did you have the air bridge? The same Airbus a380 also landed in entebbe airport in 1990's so air bridge is not a factor. For your information JKIA also have air bridges.
WTF ..is this ...A380 Haikuepo in 1990s wewe...acha mambo yako....A380 ni 21st Centrury plane
 
Km unataka ku zoom sema usaidiweView attachment 1869295
Ngoja nikupe siri moja zamani watu walikuwa wakijenga airports kwa mtindo huo wa circle kwa ajili ya kusave space especially kwenye apron ili ndege nyingi zipark kwa wakati mmoja ila nowadays hawajengi hivyo tena wanajiachia ni kama mtindo flani kwa sasa uko out of fashion nakupa homework nenda kaangalie new airports na new Terminals huko kwa wenzetu hawajengi tena kwa mtindo huo!!!Punguzeni ushamba.
 
Ngoja nikupe siri moja zamani watu walikuwa wakijenga airports kwa mtindo huo wa circle kwa ajili ya kusave space especially kwenye apron ili ndege nyingi zipark kwa wakati mmoja ila nowadays hawajengi hivyo tena wanajiachia ni kama mtindo flani kwa sasa uko out of fashion nakupa homework nenda kaangalie new airports na new Terminals huko kwa wenzetu hawajengi tena kwa mtindo huo!!!Punguzeni ushamba.
Hii hapa

Beijing Capital International Airport - China
1627320588353.png


1627320628882.png
 
Ngoja nikupe siri moja zamani watu walikuwa wakijenga airports kwa mtindo huo wa circle kwa ajili ya kusave space especially kwenye apron ili ndege nyingi zipark kwa wakati mmoja ila nowadays hawajengi hivyo tena wanajiachia ni kama mtindo flani kwa sasa uko out of fashion nakupa homework nenda kaangalie new airports na new Terminals huko kwa wenzetu hawajengi tena kwa mtindo huo!!!Punguzeni ushamba.
Ujenzi wa circle unasaidia kutoa matoleo mengi ya bridges na kusaidia kupaki ndege nyingi kwa wkt mmoja!!!Ila dunia imebadilika siku hizi hawajengi namna hiyo tena.Fanya utafiti utaniambia.
 
Back
Top Bottom