President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,768
- 89,793
Zizi la nguruweMumepigwa, yani unajenga terminal uje uitumie kw ajili ya ku paki mindege mbele tu, space ya nyuma na kando umemuachia nani
Yani unatumia hela yote ile kuja kuhudumia ndege chache at ago..,maskini tanzaniaView attachment 1869464




tuombe uzima tukimaliza BRT phase 2, phase 3 na phase 4 city center patabadilika sana sana tutakuwa na barabara chache sana za kurekebisha maana kule Obama drive mambo ni moto maungio ya Tanzanite Bridge safi!!!