Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mumepigwa, yani unajenga terminal uje uitumie kw ajili ya ku paki mindege mbele tu, space ya nyuma na kando umemuachia nani
Yani unatumia hela yote ile kuja kuhudumia ndege chache at ago..,maskini tanzaniaView attachment 1869464
Zizi la nguruwe
Screenshot_20210726-153927.png
Screenshot_20210726-153811.png
 
komora096 , kukinyesha sasa ndio vituko aisee, kuna siku atcl waliagiza boat na nyambizi ili abiria waweze kufuka terminal 3. Hapa mkandarasi aliwala tigo,
 
Mumepigwa, yani unajenga terminal uje uitumie kw ajili ya ku paki mindege mbele tu, space ya nyuma na kando umemuachia nani
Yani unatumia hela yote ile kuja kuhudumia ndege chache at ago..,maskini tanzaniaView attachment 1869464
Hii terminal imezingatia ubora wote ni terminal ya kisasa njo uhesabu gates bridge moja imegawanywa mara mbili halafu bridge zenyewe ziko automated unaitwist unavyotaka kutokana na ukubwa na aina ya ndege halafu wakati wa kudizaini ilidizainiwa kuhost pia ndege kubwa kbs A380 na sio moja.Pole sana Komora.
 
Noma sana tuombe uzima tukimaliza BRT phase 2, phase 3 na phase 4 city center patabadilika sana sana tutakuwa na barabara chache sana za kurekebisha maana kule Obama drive mambo ni moto maungio ya Tanzanite Bridge safi!!!
Noma sana mkuu, Nimepita ile njia toka Obama drive hadi Coco beach, sasa inatakiwa Coco Beach iwe Modernised,
Phases zote za BRT zikikamilia na miradi ya DMDP Dar itakuwa haishikiki tena.. inatakiwa tuwekeze kwenye entertainment kama vile kumbi za sinema, indoor arenas na Viwanja vya mchezo hasa mpira wa miguu,
Tupate angalau 3 additional modern football Stadia zanye capacity ya 25-30k kwa hapa Dar.
 
Hii terminal imezingatia ubora wote ni terminal ya kisasa njo uhesabu gates bridge moja imegawanywa mara mbili halafu bridge zenyewe ziko automated unaitwist unavyotaka kutokana na ukubwa na aina ya ndege halafu wakati wa kudizaini ilidizainiwa kuhost pia ndege kubwa kbs A380 na sio moja.Pole sana Komora.
Nakwambia hapo bado hamjafanya kitu mzee, ww subiria mziki wa JKIA utashangaa nakwambia
 
komora096 , kukinyesha sasa ndio vituko aisee, kuna siku atcl waliagiza boat na nyambizi ili abiria waweze kufuka terminal 3. Hapa mkandarasi aliwala tigo,
Ukweli usemwe bana, JNIA terminal3 watanzania wamepigwa..
Isitoshe ni A big white elephant, yani mkandarasi anawashtua watu na Air bridges..kweli jamani
 
Kuna mmoja kachanganyikiwa tayari baada ya kuona vile airport tofauti tofauti watu wanavyojenga terminals

Yani jamaa kaleta mpka usaidizi kutoka china lkn akaangukia pua, hakuna mpuuzi wa kukubali kujengewa terminal ya ku serve km stesheni ya pugu

Code:
big for nothing
JamiiForums-140549548.jpg
 
Back
Top Bottom