Hope finals iwe Kenya vs Tanzania..,tumo wote nusu, kuna uwezekano wa kukutana final
View attachment 1866740
Kama Dar ilivyo, kijiji fulani cha wavuvi kikubwa hivi.,Kisumu ipambane na jimbo la kawe kwa Dar maana tukisema DAR yote utakua utani...kawe moja inawezana na kisumu city infact kisumu hata sio city ni kijiji fulani kikubwa hv
😂 😂 😂 😂 😂 ulipigia mbuzi guiter😂😂Come back after you have learned meaning of regional headquarters. Is like I'm wasting my time with you here.
yaani wewe kichwa kimejaa meno na kamasi tu! ebu jumulisha hizo airport za bongo zote kisha ulinganishe idadi ya wasafiri na JKIAt
Tafauti ya kenya na Tanzania ni hii Kenya Main Airport ni moja kwa tourist and business .But Tanzania ni 3 Airports for business JNIA(Dar es Salaa,m ,KIA(Kilimanjaro) and Zanzibar.Hivyo lazima idadi iwe ndogo kilingana na ,mgawanyiko.
Kumbe uliteseka hivi😂😂😂, ulipigwa kichapo cha mbwa.., hadi rahaUmekimbia mnakaa k 😂 😂 wenye uchafu halafu unakuja kutupigia kelele asubuhi asubuhi 🤣🤣🤣. Nairobi chafu View attachment 1867234
well putUnapika kulingana na uhitaji...huwez kupika chakula kingi kama unawalaji wachache...hata penetration hatuwez kuwafikia
Aliyewafanyia hiki watzanzia Mungu ana muona



Compare and contrast






Vitu hvo huku utavikita mashinani vimetapakaa pande zoteDream houses in Periphery Dar-Goba areaView attachment 1868865
View attachment 1868866
View attachment 1868867
View attachment 1868868


🤣 🤣🤣slums SI Unit
Kisumu inapokea ndege gani ngapi za kimataifa (Europe / America)What of Mombasa and Kisumu in kenya, unajua annual passenger numbers kweli ama nikukurupuka tu?
Weka aerial shot nikuoneshe kitu
Hawa jamaa dawa yao ni kwenda aerial tu, si vile vipicha vya chini chini za nyumba moja.