Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Atakua sio mzima huyu afanye research kuwazungumzia watanzania vibaya YouTube harafu ataona mabeberu watakachokoment
Sent using Jamii Forums mobile app
Zunguka Afrika nzima uliza mtz ni nani utaambiwa, watanzania wanaheshimika Afrika nzima kwa utu, unyenyekevu, uungwana, upendo na kujali, ss hizo lawama zako cjui unazitoa wapi, eti WaTz wana roho mby af Wakenya ndiyo watu safi damn!! hata ww mwenyewe unajishangaa unavyoongea utumbo humu, upendo wa watanzania ni wa enzi na enzi hamuwezi kuupata hata iweje, na ndiyo maana huku hatuna civil wars km nyie, leo nmecheka sneti mkenya ana roho nzuri kuliko mtz dunia simama nishuke, yn mnachukiana wenyewe kwa wenyewe af ndo muwapende wageni...smh
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app




ipewe kiti

