Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Hakuna lami huku!? Kwani ni vijijini!?
Hakuna lami huku!? Kwani ni vijijini!?
jibu swali nini maana ya uswazi???
ndugu yako kaniambia nyumba yangu ni banda sasa nikamwambia kwanza afike hatua ya kumiliki hio saa alaf aombe nimuineahe nyumba yangu😂😂😂😂😂Ndio nilikua nakuelimisha sasa, vitu km hvyo achia hao wanaojiita makamanda wa mitaani
Halafu hilo la club lazima ulifanyie kazi, na pia inategemea unaenda club gani
Sent using Jamii Forums mobile app
so ww na WHO nani anejua zaidi😂😂😂Choler
Cholera ipo Tz kwa wingi tena sana, wewe kilaza wa CCM unafikiri data zinatoka wapi?., kwa serikali, serikali ya CCM haiwezi peana data halisia kwa tume za kimataifa za utafiti, watapika kama kawaida yenyu, media za kimataifa ndio huwa zinawafumania kupitia waandishi wenyu wanao tuma taarifa nje kisiri kwa hofu ya kukamatwa na useless govt., jiangalie vile mulivyo wengi wenyu., mitaa imechakaa, watu wamezubaa kishenzi, idlers kibao, over 70% slum dwellers, cholera itakosa vipi?., pelekeni ujinga mbali.,
subiri ikimilike alaf tuone je utafungua mdomo wako tena 😂😂😂😂Waulizeni Waturuki wawarudishe hela zenu. Wakandarasi na wahandisi wakitanzania halisi wangejenga vyema. That thing is utterly ugly wallahi!!!
Having glass doesn't mean it is beautiful.
It can't compete even with smaller stations in Kenya on beauty
View attachment 1438745
sasa hii ni mall unaeza post hapa bro unaijua mwanza vzr wewe au???😂😂😂😂Mwanza hamna mall ingine??
Tazama vitu viko nakuruView attachment 1438588View attachment 1438589View attachment 1438590View attachment 1438592View attachment 1438593View attachment 1438594View attachment 1438595View attachment 1438596
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa hutoki dadadeki msikilize raisi wa EAC![]()
👇👇👇👇Mwenzenu kapagawa amebaki kuropokwo tuView attachment 1438803View attachment 1438804
Sent using Jamii Forums mobile app
ulitaka nishabikie lockdown au curfew???😂😂😂 hatuwez kufananaEndeleni kushabikia ujinga huku corona ikiendelea kuwafinya makendeView attachment 1438821
Sent using Jamii Forums mobile app
ohh nye nye sijui magufuli kwann yuko chato wanasahau matatizo yao

km landslideAtakaemuelewa ni rais wako na co wwMwenzenu kapagawa amebaki kuropokwo tuView attachment 1438803View attachment 1438804
Sent using Jamii Forums mobile app
ulitaka nishabikie lockdown au curfew???hatuwez kufanana
Fikiria na huyuDuh: Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakua ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie Nimeskliza hotuba ya Magufuli kwamba kwa mbinu za kisiri walipeleka sampuli za mananasi, mafenesi, oil ya gari na vitu vingine vingi vikakaguliwe kwenye maabara ili kubaini hizi positives zinazotajwa, hizo sampuli zikaonekana kuwa na corona.
Hii inatisha sasa kama ni kweli, aidha
- Watanzania waliopo kwenye maabara ni wazembe wa kufa mtu, hivyo watasema negative au positive kwa chochote bila kuwa makini.
- Hivi vifaa vya kupima Corona vimehujumiwa na kuna kitu kinasukwa cha kutumaliza Afrika.
- Hao waliosema wamepeleka mananasi iwe wanamdaganya rais
Hiyo hotuba itaibua mengi sana, na inaweza ikajadiliwa mpaka Ulaya, maana leo hii tunaambiwa na kuona watu wanakufa kona zote za dunia, so kwa kifupi hawa watu kitu gani kinawaua jameni.....duh hili lijadiliwe duniani.
Duh: Kama kweli, basi Magufuli kwa hili atakua ameibua makubwa, Kenya hebu tuliangalie - JamiiForums
mwisho wa siku watakubali tu