Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ile Ilala unaletanga picha moja hapa Monday to Monday ama kuna Ilala nyingine?
imekuuma kuona ilala au😂😂👇👇 hutaki hii picha iwe ilala
3F8CCA2B-3724-467E-A206-EA0F459A8ACD.jpeg
 
Mzungu kwenyu akuje kufanya nini?., ni Serengeti na kuondoka, nchi ya kukandamiza free speech, na divergent views nani mwenye akili timamu anaweza kuitamani?., ni wezi wa rasilmali zenyu kama dhahabu na vinginevyo ndio wanazurura Tz, warabu na wahindi wamewakalia kitako, nyie mnaishi mitaa yenye small coridors ndio njia ya kupitia, unplanned low quality settlements in large quantities over 80%., weka aerial view Dar yote, utaona developed area ni ndogo sana ukilinganisha na ushamba mliojaza mjini.,
uhehehe leo mapovu yamekutoka 😂😂 eti mzungu aje kushangaa nini hawa wazungu wanaokuja kushangaa slum ni vipi😂😂👇
wazungu wameigeuza kibera kua national park👇👇👇👇👇👇 over 80% mko slum alaf munashindana na dar😁😁 utawachukua miaka 300
 
Mzungu kwenyu akuje kufanya nini?., ni Serengeti na kuondoka, nchi ya kukandamiza free speech, na divergent views nani mwenye akili timamu anaweza kuitamani?., ni wezi wa rasilmali zenyu kama dhahabu na vinginevyo ndio wanazurura Tz, warabu na wahindi wamewakalia kitako, nyie mnaishi mitaa yenye small coridors ndio njia ya kupitia, unplanned low quality settlements in large quantities over 80%., weka aerial view Dar yote, utaona developed area ni ndogo sana ukilinganisha na ushamba mliojaza mjini.,
Waiweze wapi basi hyo mombasa
images.jpeg-16.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzungu kwenyu akuje kufanya nini?., ni Serengeti na kuondoka, nchi ya kukandamiza free speech, na divergent views nani mwenye akili timamu anaweza kuitamani?., ni wezi wa rasilmali zenyu kama dhahabu na vinginevyo ndio wanazurura Tz, warabu na wahindi wamewakalia kitako, nyie mnaishi mitaa yenye small coridors ndio njia ya kupitia, unplanned low quality settlements in large quantities over 80%., weka aerial view Dar yote, utaona developed area ni ndogo sana ukilinganisha na ushamba mliojaza mjini.,
😂😂😂😂👇👇👇👇👇

 
Nionyeshe hizo vibanda I have circled in red Ziko wapi kwenye ile screenshot ya ichoboy. Mbona unashindwa na kitu rahisi hivyo?View attachment 1437938
Mbn unaweweseka, hii picha nimeipost mm apa na nimekuambia kwnz kubali kwamba hii ni Parklands mana mwanzo nilipo post ulikataa kwamba co Parklands, kwnz kubali zen ndo uniulize slums ziko api acha wenge
 
ananiletea dharau za kikabila hapa anachukulia kila mtu simple tu humu ndani
Wana maisha magumu sn wakenya, nchi yao kila siku mabalaa hayaishi lkn bado wanataka kushindana na nchi yenye baraka zote toka kwa Mungu never
 
Back
Top Bottom